Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

kuna mdada namfahamu hata chupi zake za period anafua dada . sometimes huwa sijutii kutokuolewa naona bora nijifunze kwanza kuliko nikawe mtu wa mateso kwa mwenzangu.
mwanamke hapiki,hafui, hafanyi chochote kwa mumewe si uendawazimu huu!
 
kuna mdada namfahamu hata chupi zake za period anafua dada . sometimes huwa sijutii kutokuolewa naona bora nijifunze kwanza kuliko nikawe mtu wa mateso kwa mwenzangu.
mwanamke hapiki,hafui, hafanyi chochote kwa mumewe si uendawazimu huu!
Vipi ile to hell with men imeisha!!
 
nawakubali wavaa kobazi kwenye maeneo yafuatayo;
1. Kuoa wake wanne,
2. Harusi zao very simple (bajeti haizidi 50,000/=, chai na maandazi),
3. Kuzika (hawana mbwembwe za mijeneza, na sijui mi-tshirt mara video n.k.
 
Dah...."Demokrasia " ndiyo chanzo kikuu cha kuleta ugumu ndoani...Ukitaka kuoa na ndoa ya "kijeshi"[emoji13]
 
Vijana msifikir ndoa ni kucheza kwaito na kutuma picha instagram. Kwa wale waliooa kabila lililopo pembezoni mwa mlima mrefu Afrika na kule Kyela moto tunauona!
Wanyakyusa na wamachame!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jihadhari na...
wanawake wanaoamini ktk uzuri wao,kuliko tabia zao...[emoji615]
usimpe mimba ya mtoto mwanamke kabla ya kumpa mimba ya fikra zenye kuzaa ustawi wa maendeleo ya kifamilia..[emoji615] ..
tafakari hayo machache kabla ya ndoa....
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Chini mlima mrefu au pembeni ya mto kyela
 
hebu mtupishe, kuna watu wanavumilia kwenye ndoa kama wanawake? tena sio kumvumilia mume tu, unamvumilia mume, wakwe, mawifi na mashemji, tatizo lenu wanaume mnapenda kuabudiwa na hizo zama za mama zetu na bibi zetu zilishapita na wao walikuwa na haki ya kuwanyeyekea sababu walikuwa wanakaa tu nyumbani kazi kuu ni kuzaa na kulea na kumuhudumia mume, sasahv nimwendo wa sawa kwa sawa, haiwezekani wote tunatoka asubuhi kila siku tunarudi wote jioni mwisho wa mwenzi wote tunaleta mezani mishahara, alafu utake kujifanya mfalme wa nyumba. Maisha ya sasa ni kusikilizana na kuelewana kiustaarabu tu nyumba itaenda ila ukileta ubabe kweli ndoa utaiona chungu
Acha kulisha wenzako matangopori, utawafanya waharibu ndoa zao, acha waishi maisha yanayowafaa wao, Kama umempata wa kumburuza we mburuze tu unavoweza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahh ulijipatia mkibosho wa machamee..
"joto la jiwe analijua mjusi" hongera mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sidhani kama umemuoa ili anapokukosea ukae kimya. Inatakiwa tujifunze kwa ndoa za wazazi wetu ambazo nyingi zimedumu kwa miaka mingi ikiwa wewe una miaka 06 kwenye ndoa unasema umeamua kumpotezea.

Huko ni kutaka kutengeneza sumu ambayo baadae ina madhara makubwa solution sio kukaa kimya ni kutafuta njia za kumbadilisha na awe unayemtaka kwani ukiangalia umeshazaa naye hata ukisema labda utatafuta mwingine bado athari ipo.

Hujachelewa miaka 06 sio mingi japo upeo wake ni wa chini na msahaulifu nina imani ukienda nae taratibu hata kama hatabadilika kwa 100% kwa kiasi fulani atajirekebisha.
Ss jaman nyote mnataka watu wabaki njia kuu na michepuko tutaishije
 
Back
Top Bottom