Kuitwa Aptitude Test TCB

Kuitwa Aptitude Test TCB

Ushauri gani unaunitaji hapa Mkuu
Una shahada ya kozi tofauti na wanayohitaji au huna kabisa hiyo shahada ?
 
Ushauri gani unaunitaji hapa Mkuu
Una shahada ya kozi tofauti na wanayohitaji au huna kabisa hiyo shahada ?
mkuu niliomba just kujaribu coz chuo namalza mwezi wa saba 2024 na CV inaonyesha ndo nikawa shortlisted kwenye APTITUDE TEST for operation auditor II
 
Back
Top Bottom