Sasa c bora angeaanza kufanya wakati amemaliza std 7Ndugu Mbaga mlikuwa kama wangapi kwa kukisia??kwa kweli ajira ni janga,juzi nimekutana na mdada Bachelor Graduate wa Education UDOM anafanya kazi Bar
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Majukumu ya nafas ambayo unaomba mfano msimamiz msaidizi, pia kuna sehemu pa kujaza taarifa binafsiWanauliza kitu gani
Kwhy unamlaumu kwa kumaliza chuo afu anafanya kazi hy.?Sasa c bora angeaanza kufanya wakati amemaliza std 7
Amna ndugu...mm nasema jinsi gan elimu ya bongo ilivyo mbovu.Kwhy unamlaumu kwa kumaliza chuo afu anafanya kazi hy.?
Bc mpe kaz ww ambayo unaona itamfaa
Kwa muda ambao nlienda, nkikadiria bc sio chin ya watu 3000 na pia wengine walikuwa wanaongezekaNdugu Mbaga mlikuwa kama wangapi kwa kukisia??kwa kweli ajira ni janga,juzi nimekutana na mdada Bachelor Graduate wa Education UDOM anafanya kazi Bar
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tatizo umeongea kama vile huyo dada ametaka mwnyw kufanya hy kazi, lkn yeye mwnyw hajapenda ila maisha magumu na hana namna tenaAmna ndugu...mm nasema jinsi gan elimu ya bongo ilivyo mbovu.
Pole nduguTatizo umeongea kama vile huyo dada ametaka mwnyw kufanya hy kazi, lkn yeye mwnyw hajapenda ila maisha magumu na hana namna tena
Mm mwnyw hapa nmemaliza chuo juzi kati tuu hapa lkn hakuna rangi naacha kuiona utadhani nimemalza 2010 hukoooo.!
Temeke na mbagala kesho uwanja wa mkapa,kwa ilala sjajuaJamani ilala na temeke lini??
Pamoja na kupigia kampeni ccm hivyo kumbe ni jobless ?Mm nimeingia ndan hapa tyr
Na hiyo ndio hatari ya kuita wote walioomba bila kuchambua,inawezekana wengine hawakuomba kabisa wakafika siku hiyo
Yah mm n joblessPamoja na kupigia kampeni ccm hivyo kumbe ni jobless ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwa mkapa 😭😭😭 hakuna rangi tutaacha kuonaTemeke na mbagala kesho uwanja wa mkapa,kwa ilala sjajua
Ndio ndio mkuu
Jina lako, jimbo unapotokea, nafasi unayoomba, majukumu ya nafas unayoomba.Tupieni hayo masuali ya huko wadau niliomba msimamizi msaidizi
Ngoja nikameze majibu bt huku kijiji kwetu unapigwa oral kabisa hakuna kuandika andikaJina lako, jimbo unapotokea, nafasi unayoomba, majukumu ya nafas unayoomba.
Sa cjajua kama maswal yanatofautiana kutokana na eneo au vp ila sisi tumeulizwa hvyNgoja nikameze majibu bt huku kijiji kwetu unapigwa oral kabisa hakuna kuandika andika