Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Tangu kuzinduliwa ujazwaji maji wa bwawa kubwa Afrika la kufua umeme na Rais Samia, mvua zimeendelea kunyesha kwa wingi sana na bwawa hilo limeendelea kujaa kwa kasi kinyume na utabiri wa mafisadi wa Ufipa.
Mafisadi yalitabiri bwawa hilo halitajaa kwa sababu Magufuli amekata miti milioni 3 kwenye eneo lenye ukubwa kama mkoa wa Dar es Salaam.
Mafisadi yalitabiri bwawa hilo halitajaa kwa sababu Magufuli amekata miti milioni 3 kwenye eneo lenye ukubwa kama mkoa wa Dar es Salaam.