Kujaa kwa Bwawa la Mwl. Nyerere ni aibu kubwa kwa mafisadi

Kujaa kwa Bwawa la Mwl. Nyerere ni aibu kubwa kwa mafisadi

Jambo jema kabisa but huwa najiuliza maswali mengi kuhusu Egypt yaan kumbe wenzetu wapo mbali namna hiyo mpaka kuja kutengeneza bwawa how sisi elimu yetu ipoje siku anatangazwa nilistuka sana nikawa na wasiwasi kama wataweza

Kwa hiyo Egypt wanaweza kufanya miradi mikubwa ya ujenzi wowote ule

All in all nawapongeza sana na Serikali pia kwa kuchagua nchi ambazo ni za kawaida katika miradi
Eagypt, wasimamaizi,

Mjengaji MCHINA(Chinese)

SINO HYDRO
 
Jambo jema kabisa but huwa najiuliza maswali mengi kuhusu Egypt yaan kumbe wenzetu wapo mbali namna hiyo mpaka kuja kutengeneza bwawa how sisi elimu yetu ipoje siku anatangazwa nilistuka sana nikawa na wasiwasi kama wataweza

Kwa hiyo Egypt wanaweza kufanya miradi mikubwa ya ujenzi wowote ule

All in all nawapongeza sana na Serikali pia kwa kuchagua nchi ambazo ni za kawaida katika miradi

Mabeberu walikataa kampuni zao zisihusike. Kisa kukata miti milioni tatu ni uharibifu wa mazingira. Ndiposa Egypt wakaokota Dodo kwenye mnazi
 
Pamoja na yooote, yule Mwamba aliyelala chato aka JPM alikuwa mwamba na chuma kwelikweli...

Si mchezo kuwa na maamuzi magumu na kuanzisha miradi mikubwa yoote hiyo kwa pamoja ni ujasiri na ndio tunasema JPM alikuwa mwamba aka mwanamume.

awamu zote hakuna hata aliyethubutu hata kujaribu kuligusa hilo fupa la stieggler zaidi ya blahblah tu, awamu zote hakuna aliyehata thubutu kukarabati reli zote zifanye kazi efficiently lakini mwamba aliamua kujenga SGR kabisa..

awamu zote hakuna hata aliyefikiri kujenga lile daraja pale busisi Mwanza kuelekea sengerema na Geita..

Miaka yooote tulikuwa tunalia na wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini na vifo vilitokea daily lakini Mwamba amri moja tu Daraja lile pale...

Pumzika kwa amani JPM umefanya kazi yako kwa nguvu zako zote kwaajili ya Tanzania, Mwenyezi Mungu akuondolee adhabu kaburi na akujalie Pepo pia kwa kusamehe dhambi zako.. Amen
 
Nyie team msukule mliokuwa mnasema bila maguful au mradi utakufa mnaonaje nchi?
Live long SAMIA kimya kimya

Kumbe mradi wa china
 
Pamoja na yooote, yule Mwamba aliyelala chato aka JPM alikuwa mwamba na chuma kwelikweli...

Si mchezo kuwa na maamuzi magumu na kuanzisha miradi mikubwa yoote hiyo kwa pamoja ni ujasiri na ndio tunasema JPM alikuwa mwamba aka mwanamume.

awamu zote hakuna hata aliyethubutu hata kujaribu kuligusa hilo fupa la stieggler zaidi ya blahblah tu, awamu zote hakuna aliyehata thubutu kukarabati reli zote zifanye kazi efficiently lakini mwamba aliamua kujenga SGR kabisa..

awamu zote hakuna hata aliyefikiri kujenga lile daraja pale busisi Mwanza kuelekea sengerema na Geita..

Miaka yooote tulikuwa tunalia na wami pale kuunganisha mikoa ya kaskazini na vifo vilitokea daily lakini Mwamba amri moja tu Daraja lile pale...

Pumzika kwa amani JPM umefanya kazi yako kwa nguvu zako zote kwaajili ya Tanzania, Mwenyezi Mungu akuondolee adhabu kaburi na akujalie Pepo pia kwa kusamehe dhambi zako.. Amen
Yuko anaongoza malaika
 
Nyie wachunga ng'ombe mna tabu san, mlisema bwawa limetelekezwa sababu ya makamba. Leo mmekuja na ngonjera nyingine! Mfuga ng'ombe ni mfuga ng'ombe tu hata uumpe ukuu!!
Kwan point za Makamba kupinga ujenzi wa hilo bwawa miaka hiyo ya JPM hunazo?

Zitafute usichoshe watu kukujib ilihal uwezo wa kusaka taarifa unao mkuu
 
Namshukuru Mungu Sina akili za kibongo za kina Maropu na kundi la masisiem mengine kina Madilu ambao hutesa raia na kuwakejeli kwa kauli zenye ukakasi Huku wakisahau kufa kwao!!

Maskini Huwa hawana akili. Misri hutegemea maji ya mto Nile kujaza Aswan Dam SiO mvua! Mvua hazitabiriki na ni kisingizio Cha Maropu kucheleweshwa mradi wa Nyerere Dam ambao unamuuma sana maana ni WA Mwamba Magufuli.

Yatakiwa uchimbwe mtaro Toka huko Ziwa Victoria maji yakajaze Nyerere Dam , eti mvua ndo zijaze bwawa hadi 2027! Watu maskini Huwa ni wajinga sana huwaza mwisho kibaha! Maropu kamata wajinga wadanganye na habari ya mvua! Mi hunipati ng'o! Mvua my foot!
 
Kuna raia wale wavivu wa kudadisi na wepesi wa kudanganywa wataamini hii picha uliyoweka hapa imepigwa toka bwawa la Mwl. Nyerere...

Kazi kwako Mhariri


Na mwonekano wake ndio bwawa la Mwalimu litakavyokuwa,

Yaani ni copy ya bwawa letu,

Na nilisema bwawa letu linajengwa na Wachina ,
Ndio main contractor , wale Wamisri ni wasimamizi.
 
Back
Top Bottom