Kujaa kwa Bwawa la Mwl. Nyerere ni aibu kubwa kwa mafisadi

Si bora yawe yataharibu tu mitambo. Atatoa tender ya trillion 3 ya kujaza bwawa kwa kampuni XXX ili wachote maji Coco beach na kwenda kujaza bwawa.

Rest Easy Late Magufuli!
Huku akisema hutu tuhela tudogo sana zinahitajika zingine
 
Kwani unafikiri huo mradi wameumalizia kwa kupenda. Ni vile ulikuwa ushaenda mbali zaidi na hela yake inadaiwa marejesho. Ila ingekuwa kwa fedha zetu bila kufuatiliwa wasingeendelea nao.
Mna kazi sana. Poleni!!! Mtamaliza hila zote lkn katu hamtofanikuwa sababu ni Mungu aliyeamua..............zusheni yoooooooooote!
 
Mna kazi sana. Poleni!!! Mtamaliza hila zote lkn katu hamtofanikuwa sababu ni Jungu aliyeamua..............zusheni yoooooooooote!
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mie sina hila nawazungumzia hao walamba asali maana walikuwa hawataki kabisa mradi uendelee ila tayari ulishasetiwa kila kitu. Wakabaki wanahunya hunya tu ila ndio ngoma ishasimama.
 
Nyie wachunga ng'ombe mna tabu san, mlisema bwawa limetelekezwa sababu ya makamba. Leo mmekuja na ngonjera nyingine! Mfuga ng'ombe ni mfuga ng'ombe tu hata uumpe ukuu!!
Hili bwawa liko nje ya miaka miwili kwa uzalishaji umeme,ingelikuwa Karemani umeme ungeisha washwa mda mrefu,na Makamba alituambia mpaka ili bwawa kujaa itachukua miaka miwili pasipo kujali mvua hipo au la, lakini tunaona mpaka Sasahivi miezi mitatu tu bwawa limeisha furika,hapo ndipo tunapata mashaka na majibu ya Makamba na nia ya huu mradi wa bwawa, Maana Makamba alitaraji huu mradi ukwame iliaseme Magufuli alikurupuka kuuanzisha, lakini kila akilala na kuamka anaona mambo yanasonga.
 
Hizi ni siasa unaleta! Ingawa nimepata taabu kung'amua aina ya lugha na uandishi wako ila kwa kukusaidia tu... Kuna mamb hayahitaj mtu flan ndo atatue bali wataalam na fungu la kuwezesha mradi ukamilike! Dhana uliyonayo ni kwamba utawala uliopita ulikua bora kuliko huu uliopo, but kaa ukijua CCM ni ileile!!
 
Kwan point za Makamba kupinga ujenzi wa hilo bwawa miaka hiyo ya JPM hunazo?

Zitafute usichoshe watu kukujib ilihal uwezo wa kusaka taarifa unao mkuu
Kama ukihojiwa humu unaona unachoshwa, pita kimya kimya tu!!
 
Nyie Sukuma Gang si ndio mlikuwa mkisema mradi umekufa sababu Kalemani wa Chato alitumbuliwa, akawekwa Makamba?

Leo hii linajazwa maji mnaanza kuja kivingine...!
Kivingine vipi na wewe jibwa la ccm?

Sio mliosema litajaa miaka 2?

Si ndo nyie mlisema JPM amekata miti na bwawa halitajaa?

Pumbavu zenu nyie mnaaibika sasa! Kila mkisema vibaya miradi ya msiyempenda! Mungu anaipigania kinyume nanyi
 
Sukuma Gang mumegundua kuwa matusi na kashfa zenu kwa Rais Samia haziwasaidii mnaanza kujisogeza kwake. Too late ameshawadharau na kuwapuuza mtabaki mnabweka bweka kama mbwa koko tu
Miaka miwili iko wapi sasa mliosema eti bwawa halitajaa mpaka miaka miwili! Ila nyie maccm!? Mnalaaana!

Pumbavu zenu sana majizi nyinyi
 
Well said mkuu, barikiwa sana kwa moment hiyo.
 
Ngoja nipigie cm mojatu hapa nidhibitishe kama limejaa, ninafuraha sana, I'm getting back.
 
Kwani unafikiri huo mradi wameumalizia kwa kupenda. Ni vile ulikuwa ushaenda mbali zaidi na hela yake inadaiwa marejesho. Ila ingekuwa kwa fedha zetu bila kufuatiliwa wasingeendelea nao.
Punguzeni ujuaji, mlisema bwawa halitaisha sababu mafisadi wanahujumu mradi. Alafu mlisema ni pesa za ndani Sasa ni nani huyo anadai marejesho?

Mmeona bwawa limeisha mnahamia kwenye miti Sasa...... Sukuma gang mna chuki za ajabu sana.

Asipofanya kelele, akifanya sifa kwa JPM.... insanity!
 
Tunazungumzia mvua kunyesha na bwawa kujaa hata baada ya kukatwa miti millioni 3 kama ambavyo mliainisha hapo mwanzo juu ya uwezekano wa bwawa kujaa.
Walisema litajaa baada ya miaka miwili sijui february alirumia hesabu gani
 
Watakuwambia mwendazake alitia hasara nchi kwa kuanzisha miradi mingi bila ya kuwa na fedha .lakini ukipita hivi utasikia simbio kalipwa 350bilion hii nchi inawatu washenzi sana
 
January hachelewi kusema l
Tope linepunguza wingi wa maji,kwa nje mnaona limejaa ila kwa ndani maji hayatoshi hivyo kampuni fulani tunawapa tenda ya kutoa tope kwa bil 200.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…