Ujue starehe ni suala subjective jambo ambalo ni starehe kwako si lazima liwe starehe kwa mwingine, kuna wengine starehe zao ni kula, kunywa, kulala, kusafiri, kusikiliza miziki, kutazama filamu, kufanya mazoezi nk starehe ziko nyingi sana mkuu ukiacha kufanya ngono, inategemea na akili na mwili wa mtu tu so hakuna starehe ya pekee kuliko zote ni saikolojia ya mtu tuWanachoogopa watu ni walichotuambia wamisionari kuwa ni dhambi. Umenena, ni starehe ya pekee Mungu aliyotuzawadia. Sio binadamu tu, kiumbe chochote chanye uhai.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kumbuka binadamu naye ni mnyama.Uzinzi ndio uovu mkuu na ndio chanzo cha maovu yote duniani ikiwemo mapenzi ya jinsia moja
Solution ya haya yote ilikuwa ni kufanya hilo tendo kwenye ndoa tu ila watu wakatafuta visingizio vya kipumbavu vya kuhalalisha uzinzi
Na matokeo yake badala ya kuitwa tendo la ndoa limegeuka kuwa ngono tu ambayo hata wanyama wanaifanya
Vitu tunavyofanana na wanyama ni vichache sana kuliko vinavyotutofautisha nao mkuuKumbuka binadamu naye ni mnyama.
Mosi kuna uwezekano wa kuzaa watoto halafu wazazi wakaachana na watoto wakalelewa na mzazi mmoja tuKtk mktadha wa mleta mada kuna madhara gani?
- si nke wa ntu.
-si ntoto.
-kuna makubaliano.
Nafikiri wewe ndio unatakiwa usome hiyo biblia vizuri mkuuKupenda fedha ndio chanzo cha mabaya yote,soma biblia vizuri mkuu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hojaNdugu zangu nataka niwatoe wasiwasi kuwa kujamiana sio jambo baya na msiogope kujamiana nawaomba mzingatie yafuatayo:
- Usijamiane na mme au mke wa mtu
- Usijamiane na watoto
- Usimlazimishe mtu kujamiana nawe bila ridhaa yake
- Zingatika kinga na hakikisha unazuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa
- Muhimu zingatia kuwa mnaridhiana na mtu unayetaka kucheza nae isiwe kinyume chake hii itakusaidia kujitetea pale mambo meusi yatakapokupata mana wote mnakuwa mliridhiana.
- Usiendekeze ngono kiasi kwamba utaathiri familia yako
Endapo unazingatia haya basi wewe ngonoka mpaka pale kiuno kitakapovunjika hakuna atakayekusumbua kwani hayo ni maisha na starehe yako.
Kumbuka kuwa hili ni jambo la makubaliano na hakuna mtu au kiumbe yeyote anayeingilia makubaliano ya watu, huwa yanaingiliwa pale mmoja anapokuwa analalamika.
Zingatia zaidi makubaliano kati yako na mtu wako
🤣🤣Nafikiri wewe ndio unatakiwa usome hiyo biblia vizuri mkuu