I think you're too radical and aggressive as well..
Wazo la kujenga daraja baharini kutoka Dar - Zanzibar (Unguja) honestly, sio baya na ofcoz kama uwezo wa kifedha wa kulijenga upo, basi ni vyema lijengwe haraka na mara moja..
Ishu ya kuangalia hapa ni hali yetu kifedha (kiuchumi) vs vipaumbele (priorities) katika kufanya development projects zetu kama nchi..
Hata hivyo TZS 10trn si fedha nyingi iwapo private sector itashirikishwa kikamilifu. Ni ngumu sana kwa serikali kutekeleza mradi mkubwa kama huu peke yake vinginevyo isimamishe miradi mingine yote na pia inaweza kuathiri shughuli na huduma zingine katika nchi iwapo hakutakutakuwa na umakini ktk kuachilia fedha kwenda huko pekee...