Kujenga daraja kuunganisha Dar es Salaam na Unguja ni upotevu wa fedha za maskini. Tuachane na mpango huu!

Kujenga daraja kuunganisha Dar es Salaam na Unguja ni upotevu wa fedha za maskini. Tuachane na mpango huu!

Daraja la trillion 10 kuunganisha waunguja million 1 na watanzania 60m?

Unajua trillion 10 tungefanya nini nayo katika nchi ambayo bado watoto wetu wanakaa chini shuleni, hakuna huduma mzuri za afya, watu hawana uhakika na chakula, hakuna maji safi, umeme, etc?!

Kwanini watanzania mnapenda kuchulia mambo yote poa tu?
Umesoma comment yangu na kunielewa kweli wewe?

Mimi nimesema ili kufanya development project yoyote several things must be taken into consideration including;

✓ Hali ya uchumi/fedha ya nchi..

✓ Vipaumbele (priorities) kulingana na rasrimali fedha iliyopo..

Natumaini utakuwa umeelewa maana kiuhalisia mtazamo wangu na wako hautofautiani lakini shida yako ninayoina mimi iko kwenye kukosa umakini wa kusoma na kuelewa mantiki ya hoja za wachangiaji wa hoja yako uliyoipandisha jukwaani..

Na pia u mwoga wa criticism. Hupendi kuona maoni yaliyo kinyume. Unataka uungwe mkono tu Kwa 100%...

Hilo halipo ktk mijadala yoyote!!
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!
Mwacheni Mama aache legacy yake itakayo kumbukwa for generations Samia Bridge Zenji ina potentiality za world class top beach tourism destination
 
Mwacheni Mama aache legacy yake itakayo kumbukwa for generations Samia Bridge Zenji ina potentiality za world class top beach tourism destination
Yes tutatoka na gari from dar to zenji kwenda kula maisha na kurudi panapo majasliwa..amen
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!
Kuna mpumbavu anayewaza kujenga hilo daraja?!
 
Wakati Fulani niliwahi UK's kia watanzania wanao ishi ughaibuni walikuja na mpango wa kujenga DARAJA LA kukunja ambalo garama ni nafuu kuliko LA kudumu uliishia wapo ile mpango?
 
Mwacheni Mama aache legacy yake itakayo kumbukwa for generations Samia Bridge Zenji ina potentiality za world class top beach tourism destination
Tusipende kugeuzwa kama chapati.
 
Lijengwe tu Kwa kweli.

Usafiri wa majini kwa wengine ni mtihani.
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!
Acha ushamba
 
Sioni shida yoyote kama ni private sector ndio itajenga. Wataweka tu road toll kama Kigamboni na anayetaka kupita analipia.
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!
Cjui tu tupagawa na nini?
 
Wazo zuri Sana
Samia bridge
Samia katiba
Samia tume huru ya uchaguzi
Only Legacy live on . After someone departure
 
Back
Top Bottom