Kujenga daraja kuunganisha Dar es Salaam na Unguja ni upotevu wa fedha za maskini. Tuachane na mpango huu!

Kujenga daraja kuunganisha Dar es Salaam na Unguja ni upotevu wa fedha za maskini. Tuachane na mpango huu!

Hii ni serikali kuwatoa watu kwenye reli tu kujadili mambo yasiyo na kichwa wala miguu; kufunikia mijadala ya hoja za CAG.

Gharama za kujenga reli kilometer kwa dollar 1.2 million ni vilio kila kukicha, bwawa la umeme limechelewa kwa sababu ya malipo ya kudunduliza.

Ndio tuanze kujadili ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake kilometer moja ni $51m hiyo ni kwa gharama ya 2011 kwenye daraja lao refu walilojenga China na halipiti baharini bali kwenye mto mtu..

Letu linakatiza baharini kuna ocean weather elements kwa ivyo mambo luluki yanatakiwa yaongezwe ili hilo daraja liwe stable and durable kuhimili hali ya hewa ya baharini.

Sasa Si ajabu gharama ya kilometer moja ikafika $70m, na umbali wa kutoka Paje Zanzibar; mpaka Dar ni kama 90 kilometer.

Hiyo hela tunayo au serikali inataka kuwatoa watu kwenye reli tu kwenye hoja za CAG.
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!
Tume ya mipango in semaje
 
Daraja la Kigongo-Busisi lina faida gani mpaka ligharimu Tsh 716 Bilioni? Bilioni 716 ingejenga kilomita 700 barabara za lami sasa badala yake imejenga Km 3.2. Ni kichaa tu anaweza kufanya maamuzi km haya. Hii gharama hata miaka 100 ijayo haiwezi kurudi, ni ubinafsi tu wa Mwendazake. Ilitosha kuimarisha vivuko pale. Bora la Dar-Zanzibar maana litajengwa na mwekezaji na litakuwa na tozo, kidizain itakuwa ya kitalii. Na siyo km 85 km mzushi fulani alivyoweka ni km 40.
Kama la mwekezaji sawa aweke hilo tozo na tusiweke rehani mali zetu.
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!
Hizo fedha watimie kujenga barabara za kuanganisha wilaya zote na makao makuu ya mikoa
 
I think you're too radical and aggressive as well..

Wazo la kujenga daraja baharini kutoka Dar - Zanzibar (Unguja) honestly, sio baya na ofcoz kama uwezo wa kifedha wa kulijenga upo, basi ni vyema lijengwe haraka na mara moja..

Ishu ya kuangalia hapa ni hali yetu kifedha (kiuchumi) vs vipaumbele (priorities) katika kufanya development projects zetu kama nchi..

Hata hivyo TZS 10trn si fedha nyingi iwapo private sector itashirikishwa kikamilifu. Ni ngumu sana kwa serikali kutekeleza mradi mkubwa kama huu peke yake vinginevyo isimamishe miradi mingine yote na pia inaweza kuathiri shughuli na huduma zingine katika nchi iwapo hakutakutakuwa na umakini ktk kuachilia fedha kwenda huko pekee...
We akili huna
 
Daraja la Kigongo-Busisi lina faida gani mpaka ligharimu Tsh 716 Bilioni? Bilioni 716 ingejenga kilomita 700 barabara za lami sasa badala yake imejenga Km 3.2. Ni kichaa tu anaweza kufanya maamuzi km haya. Hii gharama hata miaka 100 ijayo haiwezi kurudi, ni ubinafsi tu wa Mwendazake. Ilitosha kuimarisha vivuko pale. Bora la Dar-Zanzibar maana litajengwa na mwekezaji na litakuwa na tozo, kidizain itakuwa ya kitalii. Na siyo km 85 km mzushi fulani alivyoweka ni km 40.
Yule jamaa bora alikufa, angekuwepo leo Chato ingekuwa na 5* hotel
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!
Dar to unguja siyo km 85, ni 40! Ila naunga mkono hoja, huu ni uwekezaji usio na tija, it's luxurious expenditure na Haina faida kwa taifa
 
Unataka wazifanyie nn sasa
Binadamu hatuna shukran
Unajenga daraja ambalo halitakuwa na mchango wowote kiuchumi kwa mabilioni ya fedha halafu huku unachangisha walimu Tsh 2000 ya mwenge hiyo ni akili au bangi.?

Ni faida kwa serikali kuacha kujenga hilo daraja kuliko kulijenga
 
Hizo ni ndoto ya mchana,labda kizazi kijacho
 
Kweli kabisa, nilikuwa na yule jamaa wa NSSF naye pia alitaka kufanya hii kitu kwa kutumia company inayo itwa Shanhai Construction hii company ni ya serikali ya China, wale jamaa akasema haita wezekana sababu itatumia pesa nyingi sana na Tanzania [emoji1241] haitakuwa na uwezo ya kulipa!
Ili iweze kurudisha pesa yao mtanzania itabidi alipe $100 kuvuka hilo daraja na Tanzania [emoji1241] hatujafika kiwango hicho kumtoza mwana nchi!
Wakasema ni impossible!
That was like seven years ago!
Mwenye Enzi Mungu mweza wa yote nakusihi eeh Mola tuepushe na majanga kama haya!
 
Dar-Unguja ni takriban kilometer 85. Tuna madaraja muhimu sana ya kuunganisha mkoa kwa mkoa au wilaya kwa wilaya yenye urefu wa mita 20 au 50 tu na tumeshindwa kuyajenga leo hii tunafikiria kujenga daraja la km 85?!

Kwanini tusipanue bandari zetu na kuimarisha usafiri wa majini kwa kuweka boat kubwa na nyingi ili gharama zipungue?

Daraja la Kigogo Busisi pekee lenye urefu wa kilometer 3.2 tu kimetigharimu billioni 700 je km 85 tena juu ya bahari ni trilioni ngapi?! Ni zaidi ya trillion 10! Hii ni gharama ya kutosha kujenga SGR kutoka Dar hadi Arusha au Kigoma! Tuachane na kujenga madaraja kama mapambo, tuache kabisa hailipi!

Unaona ehh
Ni Mola wetu tu anaweza kutusaidia wana nchi wa Tanzania [emoji1241] walahi!
 
Kinacho takiwa sahiv ni kuvunja muungano tu maana jamaa wananufaika na sisi kuliko sisi tunavyonufaika nao
 
Wakijenga chini ya serikali ya huyu mama niite umbwa. Hizo ni porojo tu kama za babu sani.
 
Back
Top Bottom