Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Hii ni serikali kuwatoa watu kwenye reli tu kujadili mambo yasiyo na kichwa wala miguu; kufunikia mijadala ya hoja za CAG.
Gharama za kujenga reli kilometer kwa dollar 1.2 million ni vilio kila kukicha, bwawa la umeme limechelewa kwa sababu ya malipo ya kudunduliza.
Ndio tuanze kujadili ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake kilometer moja ni $51m hiyo ni kwa gharama ya 2011 kwenye daraja lao refu walilojenga China na halipiti baharini bali kwenye mto mtu..
Letu linakatiza baharini kuna ocean weather elements kwa ivyo mambo luluki yanatakiwa yaongezwe ili hilo daraja liwe stable and durable kuhimili hali ya hewa ya baharini.
Sasa Si ajabu gharama ya kilometer moja ikafika $70m, na umbali wa kutoka Paje Zanzibar; mpaka Dar ni kama 90 kilometer.
Hiyo hela tunayo au serikali inataka kuwatoa watu kwenye reli tu kwenye hoja za CAG.
Gharama za kujenga reli kilometer kwa dollar 1.2 million ni vilio kila kukicha, bwawa la umeme limechelewa kwa sababu ya malipo ya kudunduliza.
Ndio tuanze kujadili ujenzi wa daraja ambalo ujenzi wake kilometer moja ni $51m hiyo ni kwa gharama ya 2011 kwenye daraja lao refu walilojenga China na halipiti baharini bali kwenye mto mtu..
Letu linakatiza baharini kuna ocean weather elements kwa ivyo mambo luluki yanatakiwa yaongezwe ili hilo daraja liwe stable and durable kuhimili hali ya hewa ya baharini.
Sasa Si ajabu gharama ya kilometer moja ikafika $70m, na umbali wa kutoka Paje Zanzibar; mpaka Dar ni kama 90 kilometer.
Hiyo hela tunayo au serikali inataka kuwatoa watu kwenye reli tu kwenye hoja za CAG.