Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,378
- 1,866
Hutakiwi uwe mwogaUkiwa na uoga katika maisha una 70% ya kufanikiwa kuwa na maisha mazuri baadae.
Unatakiwa uwe na tahadhari tu
Woga ni ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutakiwi uwe mwogaUkiwa na uoga katika maisha una 70% ya kufanikiwa kuwa na maisha mazuri baadae.
Shida iko wapi mzee?Bro tukutane ukiwa na 50 years ukiwa na hela nyingi alafu huna nyumba
Nyumba nzuri unayoweza kaa na familia yenye watoto 3 ni ngapi kwa mwezi?Benki au taasisi za umma zingekuwa zina nyumba nyingi na za aina tofauti za kupanga kwa bei nafuu, kusingekuwa sana na mihemko ya kujenga nyumba kwa kila mtu.
Tatizo watu binafsi wanapangisha bila kuzingatia haki na sheria za kupangisha. matokeo yake ni kunyanyasa wapangaji na mara nyingi kuwadhalilisha mbele ya familia zao. Hiyo ndiyo inayofanya watu wengi wajitahidi wajenge nyumba ingawa wataishi maisha ya tabu.
Hii mentality ya kiumaskini sijui imetoka wapi..watu ni waoga mnoo.katika hii thread watu walio changia positive hawazid wanne.wengi wanaogopa biashara!Shida iko wapi mzee?
Wahindi wanazeeka wamepanga kariakoo na upanga lakini akitaka kukuhamisha kwenye nyumba yako anakupa fedha na anakuhamisha anamiliki nyumba yako uliyojenga kwa miaka 7 kwa siku moja
Tafuta pesa mkuu achana na ngonjera za kuitwa mwenye nyumba wakati unapumulia mashine kwa umasikini.
Mtu amabe hushindwa kifikiria kabla ya kutenda ni MBUMBUMBUUSina muda wa kujiuliza kwa mtu anayelialia, vifaa vikipanda tafuta hela zaidi maisha hayasimami…. ujenge usijenge kulialia haikusaidii.
Kabisa, ilo Ni tatizo kwa familia nyingi Sana uku mtaaniTengenezeni Future ya watoto wenu wakuu,acheni kukimbilia kuzika pesa..acheni ubinafsi..matokeo yake watoto wanakuja kuanza upya as if hakuwa na wazazi..
Off course,Kama ujenzi wa sasa upo juu huo wa miaka ijayo utakuaje cuzzo,?
Miaka ya nyuma baba zetu walijejenga mfuko wa cement ukiwa elfu nne, 4000, sasa hivi supaset huku nilipo ni 16000/16500, hiyo miaka ijayo utanunuaje huo mfuko wa cement?
Kama umepata nafasi ya kujenga jenga sasa achana na story za watoto wanaotegemea nyumba za urithi watakupoteza
Kwanini usifanye biashara kidogo kodogo ndani ya hiyo miaka kadhaa ukapata fedha za uhakika wa kujenga nyumba ya ndoto yako kwa faida na bila stress na bado biashara ikiendelea?Unajenga taratibu ndani ya miaka kadhaa nyumba ya 30mln inaisha .
Watumishi Wana salary na Wana uhakika wa mwisho wa mwezi.
Sababu umetoa pesa kuijenga and still utakua unato pesa kuihudumia.Nyumba inakuaje liability ukiishi wewe?
Yote 9&10 Kuna jamaa yupo ndani yaani seregerea now kwa case ya uhujumu uchumi wa 7b Ila Hana nyumba mtoto wake Hana sehemu ya kukaa alizoea kuishi Kila hotel hapa mjini je na huyu yupo kundi Gani lako???Mimi naona kuwa na nyumba ni muhimu sana kama huna kipato cha uhakika. Ila kama una uwekezaji wenye uhakika sidhani kama kuna haja ya kukimbilia kujenga
Mkuu,Biashara ni kipaji na ni hobby pia.
Mimi binafsi nikifanya biashara,siwezi pata kiu ya soda halafu mezani kuna buku naiangalia.
Unawezaona ni kwa namna gani biashara sio fani yangu.
Kingine inabidi tushukuru wafanyakazi wa aina hiyo,maana wanawapisha wasio wafanyakazi nao waishi kupitia biashara, vinginevyo itakuwa ni urafi na roho za ubinafsi.
Hapo kwenye elimu ya uwekezaji ndio umenena haswaa. Sasa hapo unaposema mtu asiwekeze kwaajilI ya pesa kodi atakuwa analipa nini? Hela haupati mara moja, ukipata leo jenga subiri ukipata nyingine ndio uwekeze....mimi nadhani mtu akishakuwa na kwake ana uwezo wa kujilipua kivyovyote maana anajua mambo yakienda kombo atakaa hata miaka miwili ajipange upya ila sisi tunaoishi kwa hisani ya baba mwenye nyumba tupo very calculating maana unajua nikibugi hapa natupiwa virago nje. Yaani ukipata hela unaogopa hata kuitumia hata kama sio muda wa kulipa kodi ...uunafikiria hivi ikifika muda wa kulipa sina itakuwaje? Yaani muda wote unawaza kodi kodI kodiAsiye na kipato cha uhakika si ndio anatakiwa awekeze kwenye biashara ili apate zaidi sasa akitumia mtaji alionao kujenga anwezaje kuwekeza na kuwa na kipato cha uhakika?
Kwa maana nyingine umesema tajiri aendelee kuwa tajiri na masikini abaki na umasikini wake.
Mimi nadhani hapao ni vice versa
Asiye na kipato cha uhakika aelekeze nguvu na akili zake zote kuwekeza na kujijenga kiuchumi na aliye na uwekezaji wa uhakika hakuna shida akiamua kujenga nyumba ya kuishi.
Kwangu mimi shida si kuwekeza shida ni "Elimu ya uwekezaji"
kundi kubwa la watu hasa wa kipato cha chini na cha kati wanakosa elimu na ujuzi wa uwekezaji hii inapelekea kufeli mara kwa mara kwenye biashara na wengine wanawaangalia hao(waliofeli) kama mifano.
Kwenye kila biashara ambayo mmoja analalamika ilimwangusha na kumpa hasara kuna mwingine biashara hiyo hiyo imemtajirisha na anifanya mpaka leo kwenye hiyo nchi na sera hizo hizo anazolaumu mwingine.
Bado unadhani shida ni sera au sheria nk
Shida ni kutokuwa na taarifa sahihi na za kutosha za biashara/uwekezaji unaotaka kufanya.
Watu wengi wanatanguliza fedha kwenye biashara kabla ya kuwekeza "muda" na kutafuta ujuzi/uzoefu.
Huyo nae alibugi..anakaaje hotelini na yuko na familiaYote 9&10 Kuna jamaa yupo ndani yaani seregerea now kwa case ya uhujumu uchumi wa 7b Ila Hana nyumba mtoto wake Hana sehemu ya kukaa alizoea kuishi Kila hotel hapa mjini je na huyu yupo kundi Gani lako???
Hizi ni fikra tu tulizo aminishwa vizazi na vizazi mkuu..Na kubadilika ni ngumu..Hapo kwenye elimu ya uwekezaji ndio umenena haswaa. Sasa hapo unaposema mtu asiwekeze kwaajilI ya pesa kodi atakuwa analipa nini? Hela haupati mara moja, ukipata leo jenga subiri ukipata nyingine ndio uwekeze....mimi nadhani mtu akishakuwa na kwake ana uwezo wa kujilipua kivyovyote maana anajua mambo yakienda kombo atakaa hata miaka miwili ajipange upya ila sisi tunaoishi kwa hisani ya baba mwenye nyumba tupo very calculating maana unajua nikibugi hapa natupiwa virago nje. Yaani ukipata hela unaogopa hata kuitumia hata kama sio muda wa kulipa kodi ...uunafikiria hivi ikifika muda wa kulipa sina itakuwaje? Yaani muda wote unawaza kodi kodI kodi
Off course,
Pamoja na bei za vifaa kuwa juu bado tunajenga lkn pia inawezekana sana bei za vifaa ikapunguzwa ikawa na unafuu kiasi flan watu wakamudu ujenzi ulio bora
sio biashara mbaya,ila mtaji na malengo ya muda mrefu vizazi na vizazi yanakuwa yamezingatiwa.Haiwezekani kila mtu akanunua Eicher kwa sababu kila mtu anaangalia uwezo wake wa kukabiliana na changamoto za fursa kadhaa ndio maana lazima tofauti iwepo.
Binafsi ukinambia biashara nazotaka ni hizo za real estates, Ukandarasi,financial na kuuza madawa ya binadamu/ mifugo na kilimo na mwisho kilimo/ufugaji wenyewe.
"Very calculating"Hapo kwenye elimu ya uwekezaji ndio umenena haswaa. Sasa hapo unaposema mtu asiwekeze kwaajilI ya pesa kodi atakuwa analipa nini? Hela haupati mara moja, ukipata leo jenga subiri ukipata nyingine ndio uwekeze....mimi nadhani mtu akishakuwa na kwake ana uwezo wa kujilipua kivyovyote maana anajua mambo yakienda kombo atakaa hata miaka miwili ajipange upya ila sisi tunaoishi kwa hisani ya baba mwenye nyumba tupo very calculating maana unajua nikibugi hapa natupiwa virago nje. Yaani ukipata hela unaogopa hata kuitumia hata kama sio muda wa kulipa kodi ...uunafikiria hivi ikifika muda wa kulipa sina itakuwaje? Yaani muda wote unawaza kodi kodI kodi
AlichaguaHuyo nae alibugi..anakaaje hotelini na yuko na familia