Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,569
- 6,165
Nyumba yako umeikatia Bima .?..Basi tushuke kidogo..Ina Title Deed?
Kama la.. basi jua unajifariji
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Sijaelewa maswali yako yamelenga kwenye nini, mfano Yes nyumba haina bima so what? Unadhani hapa nchini kuna nyumba ngapi zenye bima? Karibia nyumba zote hazina bima lkn hiyo haizuii watu kujenga