Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

Ni elimu nzuri, lakini kama lengo la kuwekeza ni kwa ajili ya kuja kuwa navyo hivyo vitu, kama unaweza kuanza navyo anza navyo.

Hiyo faida ya asilimia 11 kwa mwaka, ndiyo unayotumia kulipa kodi ya pango, (jiulize kwann ww unapewa hiyo faida) gharama utakazotumia kufanya ujenzi itakuwa ni kubwa kuliko kama ungefanya b4.

Cha kujifunza hapa, "DO WHAT IS POSSIBLE AND COMES FIRST" kila kimoja kina faida endapo utakuwa serious,

Lakini pia zingatia nyakati e.g. kwa graduates au bachelor with fresh age anaweza kuanza na uwekezaji, lakini kwa mtu ambaye ameshaanzisha familia, ni vyema aanze ujenzi kwa ajili ya welfare ya familia yake, vinginevyo kuna hasara ambazo hazionekani kwa macho zitakazo athiri mkeo na watoto wako mkiishi kwenye makazi ya kupanga otherwise ukapange ushuani nyumba nzima yenye fence ambayo gharama yake ni mara 100 ukaishi site kwako.
Very wise comment.
Ngoja niwape mfano mmoja hivi ili kukazia point yako.
Miaka 5 nyuma watu walikuwa wananunua viwanja maeneo ya Goba kwa milioni 5 lakini sasa hivi ukihitaji kiwanja maeneo hayo hayo vinauzwa milioni 40 sasa yupi ana advantage hapo aliyenunua miaka 5 nyuma au anatetaka kununua baadae akishafanikiwa kibiashara
 
Very wise comment.
Ngoja niwape mfano mmoja hivi ili kukazia point yako.
Miaka 5 nyuma watu walikuwa wananunua viwanja maeneo ya Goba kwa milioni 5 lakini sasa hivi ukihitaji kiwanja maeneo hayo hayo vinauzwa milioni 40 sasa yupi ana advantage hapo aliyenunua miaka 5 nyuma au anatetaka kununua baadae akishafanikiwa kibiashara
Akili kubwa ndiyo itaelewa hiki ulichokiandika.
 
Back
Top Bottom