Kujenga Rahisi ukipiga hesabu za kwenye makaratasi ingia Site sasa Ndio utajua hujui hapo

Kujenga Rahisi ukipiga hesabu za kwenye makaratasi ingia Site sasa Ndio utajua hujui hapo

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
20241223_004216.jpg
 
Na hapo nakwambiajeee, hujaanza vile vya kiingereza kwenye finishing. Ukikutana na skimming, blandering, plaster, fisherboard, wiring nk, unamwambia fundi hebu slbiri kidogo, umesemaaa?😅
Halafu unakuta mtu anakudharau "kanyumba kenyewe kadogo hakana hata chumba cha wageni"
Dharau ni kipaji haijalishi una maendeleo bora kiasi gani bado tu mwenye kipaji cha dharau atakuonesha.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Sitasahau mimi na fundi wangu tulikaa tukapiga hesabu kila kitu gharama ilikuja m9 na laki4 tu
Maajabu ni kwamba nyumba hadi inamalizwa kuezekwa na hapo bado madirisha vigaena makorokocho kibao hesabu inasoma m23 na ushee nikaachia hapo kuandika na sitakaa niandike kitu kwenye ujenzi. Msimamizi ni mimi mwenyew
 
Na hapo nakwambiajeee, hujaanza vile vya kiingereza kwenye finishing. Ukikutana na skimming, blandering, plaster, fisherboard, wiring nk, unamwambia fundi hebu slbiri kidogo, umesemaaa?😅
Halafu unakuta mtu anakudharau "kanyumba kenyewe kadogo hakana hata chumba cha wageni"
Halafu mtu mwenyewe awe ni Ke.
 
Sitasahau mimi na fundi wangu tulikaa tukapiga hesabu kila kitu gharama ilikuja m9 na laki4 tu
Maajabu ni kwamba nyumba hadi inamalizwa kuezekwa na hapo bado madirisha vigaena makorokocho kibao hesabu inasoma m23 na ushee nikaachia hapo kuandika na sitakaa niandike kitu kwenye ujenzi. Msimamizi ni mimi mwenyew
Kutoka bajeti ya 9M mpaka 23M makadirio gani hayo. Wote mlikuwa hamjui mnachofanya na fundí maiko wako
 
Kutoka bajeti ya 9M mpaka 23M makadirio gani hayo. Wote mlikuwa hamjui mnachofanya na fundí maiko wako
Nabado ilikuwa bado kukamilika. mabati,mbao, mawe cement nk viliongezeka na gharama tu kama kusafirisha material nk. kwa kifupi mimi nilikuwa sijui vingi kwenye ujenzi lakini kwenye manunuzi fundi nilikuwa na enda nae kwa jamaangu ambae ana duka kubwa la hardware
 
Nabado ilikuwa bado kukamilika. mabati,mbao, mawe cement nk viliongezeka na gharama tu kama kusafirisha material nk. kwa kifupi mimi nilikuwa sijui vingi kwenye ujenzi lakini kwenye manunuzi fundi nilikuwa na enda nae kwa jamaangu ambae ana duka kubwa la hardware
Gap kubwa sana hilo mli under estimate au mliongeza vipimo vya jengo bila kujua au kulikuwa na mfumuko wa bei za bidhaa tofauti na mlivokadiria.
 
Back
Top Bottom