Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Hdi na kamlisha ilikuwa m27 kwa makadirio ama zaidi. jengo lilizidi ndio maana kilakitu kikaongezekaGap kubwa sana hilo mli under estimate au mliongeza vipimo vya jengo bila kujua au kulikuwa na mfumuko wa bei za bidhaa tofauti na mlivokadiria.