Aaman tatizo walilokutwa nalo ni sehemu ya kuchezea, fifa hawataki nyazi za uongoAmani ina capacity ya 15,000 baada ya kuujenga upya kwa bilions of money,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaman tatizo walilokutwa nalo ni sehemu ya kuchezea, fifa hawataki nyazi za uongoAmani ina capacity ya 15,000 baada ya kuujenga upya kwa bilions of money,
Uwanja wa viti 32000 gharama yake inatakiwa iwe kiasi gani!?Gharama za huo uwanja ndiyo kituko.
Hakuna vya bureYule king wa moroko alitutapeli au?
Huo mkapa mechi za kimataifa haujai,taifa stars ndiyo kabisa!Hawana vision
Mkuu hivi unajua kinachoendelea kwenye hii mada?Kwahiyo wasijenge?
Bure kabisa wewe.
Kinachoendelea ni hoja za kijinga,mkapa siti 60000 dar na haujai,ukajenge siti 60000 dodoma!!Mkuu hivi unajua kinachoendelea kwenye hii mada?
Wewe na hao waliofanya maamuzi ya kujenga uwanja kiwango hicho mnafanana na mtu anaye jenga nyumba ya chumba kimoja na choo kimoja chumbani kwake sababu Hana watoto kwa Sasa.Uwanja wa 30K ni sahihi kabisa kwa sehemu kama Dodoma hata kwa miaka 20 ijayo. Kuna watu mnataka Dodoma iende kuwa kama Dar es Salaam, mtazamo ambao ni kosa.
Anamaanisha wasihenge mdogo hivyo ilhali population inakua kwa kasi.Kwahiyo wasijenge?
Bure kabisa wewe.
Mkuu it's not a matter of Dodoma or anywhere. Siku tutapotaka kuhost mashindano makubwa ndipo utakumbuka hizo standards za FIFA anazoongelea mtoa mada.Uwanja wa 30K ni sahihi kabisa kwa sehemu kama Dodoma hata kwa miaka 20 ijayo. Kuna watu mnataka Dodoma iende kuwa kama Dar es Salaam, mtazamo ambao ni kosa.
Kwani viwanja vya 30K havitumiki kuhost mashindano makubwa?Mkuu it's not a matter of Dodoma or anywhere. Siku tutapotaka kuhost mashindano makubwa ndipo utakumbuka hizo standards za FIFA anazoongelea mtoa mada.
Mwenzako karejea standards za FIFA, wewe?Kinachoendelea ni hoja za kijinga,mkapa siti 60000 dar na haujai,ukajenge siti 60000 dodoma!!
Hapo dar mechi za simba,yanga,mkapa haijai,wanaoingia hawazidi 30000,hata mechi za kimataifaWewe na hao waliofanya maamuzi ya kujenga uwanja kiwango hicho mnafanana na mtu anaye jenga nyumba ya chumba kimoja na choo kimoja chumbani kwake sababu Hana watoto kwa Sasa.
Sawa na kujenga barabara ya single lane kati ya kuunganisha mikoa sababu mikoa hiyo kwa sasa gari chache.
Umeanza lini kuwa na akili hii duni?
Yeye ndio alijenga ule wa temeke eh?? Huyo shujaa wakoRIP Shujaa Magufuli 🌹
Standard za FIFA hazitaki uwanja wa watu 32000!?.. mnaweza toa ushahidi?Mwenzako karejea standards za FIFA, wewe?
Wehu haoKwani viwanja vya 30K havitumiki kuhost mashindano makubwa?
Usitambe sana kuwa una akili kama akili zako ndiyo hizo unazoonyesha hapa. Uwanja wa 30K ni standard nzuri tu kwa Dodoma na maeneo mengi nchi hii hata kwa miaka 20 ijayo.Wewe na hao waliofanya maamuzi ya kujenga uwanja kiwango hicho mnafanana na mtu anaye jenga nyumba ya chumba kimoja na choo kimoja chumbani kwake sababu Hana watoto kwa Sasa.
Sawa na kujenga barabara ya single lane kati ya kuunganisha mikoa sababu mikoa hiyo kwa sasa gari chache.
Umeanza lini kuwa na akili hii duni?
Unadhani Waziri wa ujenzi alikuwa ni nani 😂Yeye ndio alijenga ule wa temeke eh?? Huyo shujaa wako