SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Wanasahau au hawajui uwanja wa kuingiza watu 32,000 ni zaidi ya mara tatu ya uwezo wa Azam Complex.Wehu hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasahau au hawajui uwanja wa kuingiza watu 32,000 ni zaidi ya mara tatu ya uwezo wa Azam Complex.Wehu hao
Hujui kama kuna mgomo baridi kuhusu maendeleo ya dodoma,Hujui kama kuna watu hawataki maendeleo kuletwa dodoma.unajua kuwa ile budget ya uwanja wa samia Arusha ilikitakiwa iwekwe ijenge dodoma. Huko maendeleo yanapelekwa kishingo upande wanaihujumu kimakusudi Dodoma. Hata ule uwanja wa Ndege wa msalato unajengea chini ya kiwango. Kwa maksud kabisaa. Progress ya ukuaji wa dodoma ni ndogo mno.Uzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.
Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.
Ilikuwaje mkapa miaka 30 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa siti 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.
Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilisika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?
Hamtaki kupata furusa ya ku-host mashindano makubwa mfano wa AFCON, CHAN au ya FIFA peke yenu bila kushirikiana na nchi jirani miaka michache ijayo?Usitambe sana kuwa una akili kama akili zako ndiyo hizo unazoonyesha hapa. Uwanja wa 30K ni standard nzuri tu kwa Dodoma na maeneo mengi nchi hii hata kwa miaka 20 ijayo.
Mmejifunza wapi kuwa uwanja wa kuingiza watu 30K ni mdogo? Mnataka kila mtu aende uwanjani mbona kwa Mkapa tu hapo uwanja unapelea karibu mechi zote hata zile kubwa au bado population haijawa kubwa? Watu wanajazana vibanda umiza halafu uwanja mtupu.
Elekeza nguvu huko kwenye barabara nitakuunga mkono, na nimewahi kulilalamikia hilo sana tu, ila si kwenye huu uwanja unaojengwa kwa ajili ya watumishi wa serikali na wanasiasa.
Mimi sitambi bali nashangazwa umebadilika lini kutoka kiwango chako hadi low level uliyo onesha hapa.Usitambe sana kuwa una akili kama akili zako ndiyo hizo unazoonyesha hapa.
Kuhost mashindano peke yako ni zaidi ya kuwa na viwanja vya kuingiza watu 100K kila kimoja. Suala zima la miundombinu lazima lizingatiwe ambalo sisi tuna safari ndefu mpaka kulifikia. Na nchi nyingi hata zilizoendelea wakipata fursa za kuhost mashindano huwa wanajenga viwanja vipya, hawategemei sana viwanja vya zamani.Hamtaki kupata furusa ya ku-host mashindano makubwa mfano wa AFCON, CHAN au ya FIFA peke yenu bila kushirikiana na nchi jirani miaka michache ijayo?
Hamuoni kuna faida kubwa kiuchumi endapo hatugawani wageni na nchi zingine wakati wa mashindano?
Siyo lazima tujaze Viwanja wenyewe tu.
Wageni wanaweza leta mashindano yao hapa kama Supercopa de Espana ilivyofanyika Saudi Arabia.
Pia kujenga uwanja mdogo kisha unarudia upya kujenga tena uwanja huo huo chini ya miaka 40 Ni upotevu wa pesa bure.
Hatujifunzi viwanja vya Ulaya na Amerika ya Kusini vilijengwa vikiwa na ukubwa ule?
Naomba nikukumbushe tu nchi hii hatupo serious katika michezo, tunabangaiza tu. Kumbuka ni mwaka jana tu Waziri alipiga marufuku watu kuvaa jezi ya klabu fulani ngeni kisa alitaka tuonyeshe uzalendo, wewe unawaza kuhost World Cup?Mimi sitambi bali nashangazwa umebadilika lini kutoka kiwango chako hadi low level uliyo onesha hapa.
Nakitambua kiwango chako ni kikubwa si hiki.
Nahisi umekumbwa na wimbi la kutetea mambo ya hovyo sababu za kisiasa. Achana na siasa mkuu.
Hata hii reli ya umeme nakuhakikishia kama angekuwa mkwere na huyu mama tungejengewa ya disel kwa bei sawa na ya hii ya umemeUzinduzi wa mbwembwe kujenga uwanja ambao upo chini ya viwango vya fifa ni kukosa maono na kufanya siasa chafu kwenye mambo ya maana.
Uwanja wa siti 32K ni uwanja wa levo ya halmashauri kama kinondoni walivyo jenga pale mwenge.
Ilikuwaje mkapa miaka 30 iliyopita aliamua kujenga uwanja wa siti 60,000?, wakati huo pengine ulikuwa haujai lakini leo unajaa hadi kukosa nafasi.
Design ya wakati wa Magufuli uwanja ulikuwa na capacity ya siti 85,000 imekuwaje tumefilisika hadi kujenga uwanja wa siti 32,000 kwenye makao makuu ya nchi?