Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Kwani ww una onaje lbd[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimsoma vizuri mtume Paulo kwenye Warumi 14 hutopata tabu kwenye vitu vingi. Mfano soma hapa ;"Ni vibaya au ni dhambi" ndo nini??
Hapa penyewe panajieleza sasa sijui unataka kupinga nn!!28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana
Anafundisha nini kwa kupitia mwili wake? Biblia imeandikwa na anayetaka ataisoma sio katika miili ya watu. Msalaba ni alama ya nini? Inahusishwa na ukombozi wa wakristu, japo Yesu alitundikwa mtini.Mfano nini dhambi kwenye tattoo kama hii?View attachment 953438
Nikionaga msichana ana tatoo hata mzuka wa kumla unaisha, nahisi ni malayaNimezoea kuona wafungwa wengi hutokea jela na tattoo, mbali ya hapo wanawake
wanaojiuza wengi walikuwa wanachora “fu.k my as much as u can” mgongoni au kwenye chura. Wakizeeka au wakienda kumuona daktari aibu inawapata wanaanza kusema samahani.
Sikuhizi watu huchora tattoo majina ya wapenzi wao.
Mkuu umenijazia maswali mengi. Jibu basi usaidie na wengine ...Anafundisha nini kwa kupitia mwili wake? Biblia imeandikwa na anayetaka ataisoma sio katika miili ya watu. Msalaba ni alama ya nini? Inahusishwa na ukombozi wa wakristu, japo Yesu alitundikwa mtini.
Na wanawake wanapaswa kujistiri, kujichora kwake na kutaka watu waone, analazimika kujiweka uchi.
Hapo si kujichora tu kunakomfanya aende kinyume na makatazo, alichokichora na ulazima wa kujiachia wazi ni machukizo.
Ni dhambi.Mkuu umenijazia maswali mengi. Jibu basi usaidie na wengine ...
Nafikiri nilitoa maelezo kabla ya kuhitimisha kama ni dhambi au la.Kwa base gani mkuu?
Nimezoea kuona wafungwa wengi hutokea jela na tattoo, mbali ya hapo wanawake
wanaojiuza wengi walikuwa wanachora “fu.k my ass as much as u can” mgongoni au kwenye chura. Wakizeeka au wakienda kumuona daktari aibu inawapata wanaanza kusema samahani.
Sikuhizi watu huchora tattoo majina ya wapenzi wao.