Kujichora tattoo ni vibaya au dhambi?

Kujichora tattoo ni vibaya au dhambi?

Huyu amefanya dhambi gani? Tusaidiane ...
ldmtattoo-1543767728532.jpg
 
KUTOKA 20:4-5
usijifanyie sanam ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilocho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia 5:usivisujudie wala kuvitumikia..
Hapo kosa ni pale unapovisujudia, huo ndio ujumbe mkuu. Je wanaojichora wanavisujudia?
 
Habari wakuu,

Kuna kisa ambacho nisingependa kukiweka hapa lakini kimenivutia kuandika kidogo ufahamu juu ya tattoo kama ni la ya kutishana tu.

Je kujichora tattoo ni dhambi? Karibuni kwa mitazamo zaidi ya kimaadili na kidini tuwasaidie vijana.
Kuchora tatoo sio dhambi wala sio upungufu wa maadili, ila utakachokichora na sehem utakayochora ndicho kinaweza kukufanya uonekane unakosa maadili.. Kiafrika tatoo zilikuwepo toka enzi na enzi kama ishara ya urembo kwa wanawake na ushujaa kwa wanaume.. technologia waafrica tuliotumia zamani ilikuwa ni salama kiafya( tatoo zilikuw zinawekwa kwa moto au kwa kuchanwa na vitu vyenye ncha kali)tofauti na utaalam unaotumika sikuhiz..

tatoo ink(wino)una chemicals nyingi including heavy metals ambazo ni hatari kwa mwili wa binadamu..na zinapowekwa chini ya ngozi nyingine huingia katika mzunguko wa damu (sumu hizo zikifikia kiwango fulani katika damu husababisha kansa ya damu, Pia kiwango cha sumu hizo kikizidi kwenye damu na ini..ndio maana watu wenye tatoo hawaruhusiwa kuchangia damu.
 
Kuchora tatoo sio dhambi wala sio upungufu wa maadili, ila utakachokichora na sehem utakayochora ndicho kinaweza kukufanya uonekane unakosa maadili.. Kiafrika tatoo zilikuwepo toka enzi na enzi kama ishara ya urembo kwa wanawake na ushujaa kwa wanaume.. technologia waafrica tuliotumia zamani ilikuwa ni salama kiafya( tatoo zilikuw zinawekwa kwa moto au kwa kuchanwa na vitu vyenye ncha kali)tofauti na utaalam unaotumika sikuhiz..
tatoo ink(wino)una chemicals nyingi including heavy metals ambazo ni hatari kwa mwili wa binadamu..na zinapowekwa chini ya ngozi nyingine huingia katika mzunguko wa damu (sumu hizo zikifikia kiwango fulani katika damu husababisha kansa ya damu, Pia kiwango cha sumu hizo kikizidi kwenye damu na ini..ndio maana watu wenye tatoo hawaruhusiwa kuchangia damu.
Sasa wewe ndio umeandika kwa namna ya kumfunza kijana. Tuelimishane
 
Kiafya ubaya wa tatoos ni unaweza kuambukizwa magonjwa kama Aids, Hepatisis, kwa sababu ya tatoo instruments zisizo salama! Pia unaweza kupata serious skin irritation. Tatoos mara nyingi ni alama ya kuwa memba wa criminal gangs. Nchini Japan, ukiwa na tatoos huruhusiwi kuingia kwenye public places kama gym, pools, n.k kwa sababu wanapigania vita gengi la kihalifu iitwayo Yakuza.
 
Kiafya ubaya wa tatoos ni unaweza kuambukizwa magonjwa kama Aids, Hepatisis, kwa sababu ya tatoo instruments zisizo salama! Pia unaweza kupata serious skin irritation. Tatoos mara nyingi ni alama ya kuwa memba wa criminal gangs. Nchini Japan, ukiwa na tatoos huruhusiwi kuingia kwenye public places kama gym, pools, n.k kwa sababu wanapigania vita gengi la kihalifu iitwayo Yakuza.
Hizi ndio shule sasa.
 
Interesting ...tusaidie hizo risk mkuu!

I wouldn’t like to pigeonhole people’s curiosity. Wale wenye interest nawashauri watumie google kupata information zaidi. Hiyo ni moja ya matumizi bora kabisa ya internet!
 
Religious beliefs pembeni, kuna scientific studies zimeonesha health risks za tattoos. Pengine hii ndiyo njia rahisi ya kuielewesha akili ndogo ya kibinadamu. Hayo mengine ya kiimani ni too complicated kwa akili ya kibinadamu!
you are right
 
Me sio tattoo tu Yaani kitu chochote ambacho kinamaumivu katika mwili wangu na hakina msaada wowote zaidi muonekano sitaki....Tattoo,Kutoboa sikio,pua,Suggery za kipuuzi au hata kutumia mafuta ya kemikali kwenye ngozi yangu siwezi.
 
Usipoiona tattoo yangu utaniona mtu safi sana kimaadili ila ukiiona utaanza kunichukulia kama mwana mpotevu. Hii sasa maana yake nini Mkuu?.

Maadili sio jambo la maonesho ni lifestyle ya mtu ndio inasema tabia ya mtu, ukija kushituka kuna hadi viongozi wa kiroho wana tattoo.
 
Kila kitu ni uchaguzi.Kuna watu waliomchagua ibilisi na hawaogopi kujipambanua naye.Kuna watu wanamcha Mungu ijapo mwovu huwaweka mtegoni kila mara ili kuwakosanisha na Muumba wao.

Kuna wale wamechagua kujichora tatoo.Mimeona mdada mmoja alianzia BSS akiwa na alama kifuani lakini akijinadi kama mwimbaji wa gospel.
Inasikitisha kuona mtu ana tatoo na haifichi huku akijitangaza kuimba injili.

Hakika hiyo ni kutumika na mwovu kuwa shawishi watoto wanaoweza kumhusudu,wazoee hizo alama za kishetani na uchafu unaoambatana na alama hizo.

Ee Mungu turehemu kizazi hiki.
 
Back
Top Bottom