Kujichora tattoo ni vibaya au dhambi?

Nafikiri nilitoa maelezo kabla ya kuhitimisha kama ni dhambi au la.
Maelezo yako yamejaa mantiki zako binafsi kuliko maandiko. Hata mimi sitaki hata kusikia habari za kujichora lakini hii inaweza kuwa sababu ya jinsi nilivyolelewa kimaadili ya jamii yangu lakini si rasmi sana kueleza ubaya wake.
 
Reactions: Auz
Ww mrembo umejichora ipi
 
Aongeze nyama kilo ngani Mkuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue unapoandika jambo hapa unasaidia wengi mno. Hivyo ni vyema kuandika kwa namna ya kusaidia wengi.
 
Tatoo ni dhambi maana ni chale za kisasa wanaochora wengi hupewa hizo tatoo na wakuu wao kwahyo zina maagano
 
Maelezo yako yamejaa mantiki zako binafsi kuliko maandiko. Hata mimi sitaki hata kusikia habari za kujichora lakini hii inaweza kuwa sababu ya jinsi nilivyolelewa kimaadili ya jamii yangu lakini si rasmi sana kueleza ubaya wake.
Walawi 19 kama ulivyoitaja inataka tuwe watakatifu. Na yakaelezwa mengi ya kutuweka watakatifu ikiwa na hilo la kutojichanja.
Kinyume cha mtakatifu ni mdhambi.
Hivyo tatoo ni dhambi.
 
Tatoo ni dhambi maana ni chale za kisasa wanaochora wengi hupewa hizo tatoo na wakuu wao kwahyo zina maagano
Wewe ukienda kuchora na kuandika I love Jesus ni dhambi?
 

Religious beliefs pembeni, kuna scientific studies zimeonesha health risks za tattoos. Pengine hii ndiyo njia rahisi ya kuielewesha akili ndogo ya kibinadamu. Hayo mengine ya kiimani ni too complicated kwa akili ya kibinadamu!
 
Religious beliefs pembeni, kuna scientific studies zimeonesha health risks za tattoos. Pengine hii ndiyo njia rahisi ya kuielewesha akili ndogo ya kibinadamu. Hayo mengine ya kiimani ni too complicated kwa akili ya kibinadamu!
Interesting ...tusaidie hizo risk mkuu!
 
Nikionaga msichana ana tatoo hata mzuka wa kumla unaisha, nahisi ni malaya
Inawezekana ni kitu kilicho akilini tu. Umeshachunguza mantiki yake?
 
Kuna Watu wanafatilia mjadala huu kimya kimya na tattoo zao tayari mwilini wanasubiri facts!
 
Vijana wanapenda watu maarufu kama hawa na kuwaiga. Tuwaambie ukweli badala ya kuwatisha tu.
 
Unahitaji majibu kiafya au kiimani..........kiimani sifahamu lakn kiafya ni mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…