Stratroni kimario
Member
- Oct 10, 2023
- 26
- 43
- Thread starter
-
- #61
Na kuna mshkaj alipata gpa ya 4.6 lugalo hapa form four dv 3 na alipata muhas now anatarajia kuingia second year, na Mambo yanaenda vizur na mkopo alipata , ni mipango ya Mungu tuUsiende acha kukaza kichwa eti utamtegemea Mungu kwani wengine watamtegemea shetani. Nenda vyuo vingine kwanza uwezekano wa MUHAS kukuchagua ni mdogo.
Unajua kwanini vyuo huwa vinalimit intake ya kutoka diploma? Sababu ni hizo GPA zenu, na MUHAS ndio kabisa wanatoa nafasi chache zaidi kwa diploma
Bora umenena mkuu
Hiyo kawaida mkuu kinachoangalia ni GPA nzuri na PASS 4 za O LEVEL bila kujali division mbona wapo wengi hapo MUHAS wenye Div 3 za O level na wana GPA za kutisha.Na kuna mshkaj alipata gpa ya 4.6 lugalo hapa form four dv 3 na alipata muhas now anatarajia kuingia second year, na Mambo yanaenda vizur na mkopo alipata , ni mipango ya Mungu tu
Kweli kabisa chief nina ushahid wa hao watu wapo muhas Wana gpa kali ila o level 3🙏🙏shukran sanaHiyo kawaida mkuu kinachoangalia ni GPA nzuri na PASS 4 za O LEVEL bila kujali division mbona wapo wengi hapo MUHAS wenye Div 3 za O level na wana GPA za kutisha.
Ndio mkuu kinachoangaliwa MUHAS na vyuo vingine ni GPA kali na pia pass yani D 4 za O level basi.Kweli kabisa chief nina ushahid wa hao watu wapo muhas Wana gpa kali ila o level 3🙏🙏shukran sana
ndugu unasema miliona tatu? Bugando ada 5.9m,Kampala 6.7m na kuna vyuo ada zaidi ya hizo. Hapo bado kusoma ni miaka 5Hivi kwani sisi tumerogwa na nani [emoji849][emoji849][emoji849] yani mtu anakazanikia kusoma tena 5 years kwa gharama ya juu kabisa sio chini ya 3M kwa mwaka, alafu anawaza kuajiriwa !!!!
Mwaka huu ajira za kujitolea zimetoka kibao ambapo unalipwa nusu mshahara, watu wamejitokeza wengi sana.
Mfano Hospital ya Maweni kigoma walitoa ajira za kujitolea MD walihitajika 5 lakini maombi yalikuwa zaidi ya 30, tena apo ni kigoma na mshahara nusu.
Yani kama mtu anasoma ili apate ajira afanye tu mambo mengine labda baada ya hiyo miaka mitano ukawa mbali sana.
Kuliko kuchoma pesa nyingi na kupoteza muda afu baada ya hiyo miaka mitano hali ndio itakuwa mbaya sana kwenye ajira.
Unapata uhakika!Vp uwezekano wa muhas
Hawezi kukosa hata akichelewa kuapply...Huwezekano upo mkuu muhimu apply mapema mwakani usije ukakosa maana wenye hizo 5 mpo wengi sana. pia vyuo sio MUHAS tu, kuna UDOM,UDSM jaribu na huko kuna MD utapata
Tatizo wenye 5 wapo wengi mno mkuu.Hawezi kukosa hata akichelewa kuapply...
Kuna vyuo Uganda vya public ada ni M 2-2.5 makerere,mbarara, gulu, busitemandugu unasema miliona tatu? Bugando ada 5.9m,Kampala 6.7m na kuna vyuo ada zaidi ya hizo. Hapo bado kusoma ni miaka 5
Acheni kupotosha jmn....kama mtu ana gpa ya 5, probability ya kupata muhas ni kubwa kuliko vyuo vyote tz, sababu kutokea diploma, muhas wanachukua watu 20,udom watu 10 na udsm(mbeya) watu 08...mimi npo muhas mwaka wa pili huu na nmetokea diploma nikiwa na same gpa, na niliomba vyuo vingi tuu na vyote nilipata, udsm nlipata, kcmc,st Joseph ,muhasUsiende acha kukaza kichwa eti utamtegemea Mungu kwani wengine watamtegemea shetani. Nenda vyuo vingine kwanza uwezekano wa MUHAS kukuchagua ni mdogo.
Unajua kwanini vyuo huwa vinalimit intake ya kutoka diploma? Sababu ni hizo GPA zenu, na MUHAS ndio kabisa wanatoa nafasi chache zaidi kwa diploma
Kaka,huyu anapata niamin mimi.....ww unasema tu wapo wengi wakat hata kuomba hapo muhas hujawah ombaTatizo wenye 5 wapo wengi mno mkuu.
Muhas ada ni 1.8M, unalipa installment 2Kuna vyuo Uganda vya public ada ni M 2-2.5 makerere,mbarara, gulu, busitema
Ajaribu mapema japo kweli kwa gpa yake probability inakua kubwa kupata lakini aombe na vyuo vingine vya publicKaka,huyu anapata niamin mimi.....ww unasema tu wapo wengi wakat hata kuomba hapo muhas hujawah omba
Thank you so much🙏shukrani sanaAcheni kupotosha jmn....kama mtu ana gpa ya 5, probability ya kupata muhas ni kubwa kuliko vyuo vyote tz, sababu kutokea diploma, muhas wanachukua watu 20,udom watu 10 na udsm(mbeya) watu 08...mimi npo muhas mwaka wa pili huu na nmetokea diploma nikiwa na same gpa, na niliomba vyuo vingi tuu na vyote nilipata, udsm nlipata, kcmc,st Joseph ,muhas
Nitaomba na vingine udsm, udom , kcmcAjaribu mapema japo kweli kwa gpa yake probability inakua kubwa kupata lakini aombe na vyuo vingine vya public
Yeah nakuombea upate ukatimize ndoto zako mkuu.Nitaomba na vingine udsm, udom , kcmc
Hiyo ni minimum tu, hata hiyo 5M bado mambo mengine utakuta Kwa mwaka una unguza zaidi ya 8 Mndugu unasema miliona tatu? Bugando ada 5.9m,Kampala 6.7m na kuna vyuo ada zaidi ya hizo. Hapo bado kusoma ni miaka 5
Apate muhas kdg kuna urahc wa kufaulu kuliko vyuo vingne vingi...Yeah nakuombea upate ukatimize ndoto zako mkuu.
Vya serikali vyote ni 1.8 M, other direct cost ni around elf 70Hiyo ni minimum tu, hata hiyo 5M bado mambo mengine utakuta Kwa mwaka una unguza zaidi ya 8 M
Muhas mbona nasikiaga kugumu hapo binafsi nimepita Azania hapo nilikua nakujaga kucheki mpira usiku hapo muhasApate muhas kdg kuna urahc wa kufaulu kuliko vyuo vingne vingi...