Mm pia nimesoma hiyo azania, pia nipo muhasMuhas mbona nasikiaga kugumu hapo binafsi nimepita Azania hapo nilikua nakujaga kucheki mpira usiku hapo muhas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm pia nimesoma hiyo azania, pia nipo muhasMuhas mbona nasikiaga kugumu hapo binafsi nimepita Azania hapo nilikua nakujaga kucheki mpira usiku hapo muhas
Kwani akiomba vyote kuna tatizo gani?Kama uko na diploma ya clinical med nashauri usipambane kuomba vyuo vyenye ushindani mkubwa kama MUHAS, Utakwama. Omba vyuo kama uDom, Udism etc
Wana azaboy mnawakilisha vyema hapo. hongera mkuuMm pia nimesoma hiyo azania, pia nipo muhas
Anapoteza pesa wakati ana uwezekano wa kuomba vichache na akapatq....mfano kcmc peke ake kuomba ni elf 50Kwani akiomba vyote kuna tatizo gani?
Pamoja kk[emoji120]Wana azaboy mnawakilisha vyema hapo. hongera mkuu
Yaaan wew unashangaa GPA ya tano Sisi St.Bakhita Mwaka 2020 GPA ya tano watu tulichukua karibu darasa loteNina mashaka na chuo chako! Umepata GPA ya tano?
Yaaan wew unashangaa GPA ya tano Sisi St.Bakhita Mwaka 2020 GPA ya tano watu tulichukua karibu darasa lote
Kuomba vyuo vyote Tanzania vya MD gharama inaweza kuzidi laki moja?Anapoteza pesa wakati ana uwezekano wa kuomba vichache na akapatq....mfano kcmc peke ake kuomba ni elf 50
Nilikuwa namaanisha upotevu wa pesa kama ada ni milioni 1.8M mwaka na mambo mengine akijumlisha anajikuta kaunguza zaidi ya 3M, na kwa wale wenye ada ya 5M na gharama nyingine kwa mwaka wanaweza kujikuta wameunguza zaidi ya 8M, hiyo nilikuwa namaanisha.Vya serikali vyote ni 1.8 M, other direct cost ni around elf 70
Kichochoroni chuo Cha Roma hicho ndugu yangu pale ndo wanalisha hospital nyingi Tanzania kwa kuwa na watumishi boraakwel vyuo vya kichochoroni.Gpa ya 5 darasa karibia lote mhhh.ndo maana vyuo kama udsm na Muhas vinawakataa
Hapana mkuu haviwakatai ila ushindani tu.kwel vyuo vya kichochoroni.Gpa ya 5 darasa karibia lote mhhh.ndo maana vyuo kama udsm na Muhas vinawakataa
Wewe chuo gan cha udaktari umewah omba?? Hapo hiyo laki unawezs lipa vyuo vitatu tuu ikaisha...Kuomba vyuo vyote Tanzania vya MD gharama inaweza kuzidi laki moja?
Then jitu hilo hilo linalosema gharama kubwa ya kuomba vyuo linashindia pombe kila siku na kucheza kamari
Seriously!
Mzee ulitaka watu wapate maziro ziro ndo useme chuo kizuri au sio[emoji28][emoji23]kwel vyuo vya kichochoroni.Gpa ya 5 darasa karibia lote mhhh.ndo maana vyuo kama udsm na Muhas vinawakataa
Una hakika elimu ya hapa na pale ya diploma itamfanya mwanafunzi huyohuyo afaulu vizuri MD ya MUHAS?Acheni kupotosha jmn....kama mtu ana gpa ya 5, probability ya kupata muhas ni kubwa kuliko vyuo vyote tz, sababu kutokea diploma, muhas wanachukua watu 20,udom watu 10 na udsm(mbeya) watu 08...mimi npo muhas mwaka wa pili huu na nmetokea diploma nikiwa na same gpa, na niliomba vyuo vingi tuu na vyote nilipata, udsm nlipata, kcmc,st Joseph ,muhas
Wewe unawaza maisha ya kusoma, mimi nawaza maisha ya kufaulu kwako na kujiendeleza kielimu baadae. Kupanga ni kuchaguaNa kuna mshkaj alipata gpa ya 4.6 lugalo hapa form four dv 3 na alipata muhas now anatarajia kuingia second year, na Mambo yanaenda vizur na mkopo alipata , ni mipango ya Mungu tu
Kaka wewe umesoma hiyo MD? Umesoma C.O?? Maana naweza kubishana na mtu ambaye haelewi chochote kuhusu hizo koziUna hakika elimu ya hapa na pale ya diploma itamfanya mwanafunzi huyohuyo afaulu vizuri MD ya MUHAS?
Au safari ya elimu mnaona inaishia hapo.
Mwanafunzi mwenyewe ni mwenye Div. II na makarai kibao ya sayansi na D ya Mathematics.
MUHAS wanatoa nafasi 20 za MD na UDOM wanatoa ngapi.
Kama hujawahi zisoma basi kaa kwa kutulia tu mzee....Kaka wewe umesoma hiyo MD? Umesoma C.O?? Maana naweza kubishana na mtu ambaye haelewi chochote kuhusu hizo kozi
Udom wanachukua watu 10
Kwahiyo unashauri watu wasisome?Hiyo ni minimum tu, hata hiyo 5M bado mambo mengine utakuta Kwa mwaka una unguza zaidi ya 8 M
Wewe wasemaKwahiyo unashauri watu wasisome?