Kujiendeleza kwa kusoma MD mwakani

Kujiendeleza kwa kusoma MD mwakani

Habarini, nina swali nimemaliza clinical medicine mwaka huu nina GPA ya Tano. Nataka kujiendeleza MD bahati mbaya nafasi za MD Serikalini kumejaa na private siwezi kumudu ada, nauliza mwakani nikiapply naweza kupata chuo kama MUHAS na kuhusu mkopo kuna uwezekano wa kupata?

O level nina dv 2 ya 21 phy D, chem C , bios C na maths D .
Ila mwana chuo chenu kipo special sana Tanzania nzima ninyi ndo matokeo mshabandikiwa.

NB:Mpaka sasa hakuna chuo chochote kilichotoa matokeo kwani za chini ya kapeti matokeo yana utata kwa udanganyifu uliojitokeza hasa kwa kozi ya Pharmacy. Hivyo kuna uwezekano yakafutwa.
 
Bado wanakosea sana ku calculate GPA kwa mfumo huo
Hapana hawajakosea hii inaitwa competence based. Ukimaliza NTA LEVEL 5 ni level ya ku-exit na NTA Level 6 ni different level na unaweza kuja kuisoma muda wowote baada ya level 6. Hivyo level 6 it is treated differently.
 
Una hakika elimu ya hapa na pale ya diploma itamfanya mwanafunzi huyohuyo afaulu vizuri MD ya MUHAS?
Au safari ya elimu mnaona inaishia hapo.

Mwanafunzi mwenyewe ni mwenye Div. II na makarai kibao ya sayansi na D ya Mathematics.

MUHAS wanatoa nafasi 20 za MD na UDOM wanatoa ngapi.
Kweli mkuu kwa ufaulu wake wa form four Muhas na UDSM hawawezi kumchagua, hawaangalii tu GPA.
 
Itokee bahati wengi wa Diploma wasiombe hapo atapata, kwa sababu miaka hii naona equivalent hawaombi wengi sana kama miaka ya 2015 hadi 2018. Namshauri aombe ila na vyuo vingine pia.
 
Itokee bahati wengi wa Diploma wasiombe hapo atapata, kwa sababu miaka hii naona equivalent hawaombi wengi sana kama miaka ya 2015 hadi 2018. Namshauri aombe ila na vyuo vingine pia.
Wanaangalia gpa kwanza....ikitokea weng wana same gpa ndo wanaangalia vigezo vingne...!

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Nikiona jau sana naenda makerere university uganda bachelor of medicine and bachelor of surgery
Nashauri nenda omba Makerere mapema,hiyo GPA kupata huko bila kujuana utahangaika sana muhimbili pagumu mzee Makerere nenda tu kuanzia mwezi wapili huko wanaanza application
 
Nashauri nenda omba Makerere mapema,hiyo GPA kupata huko bila kujuana utahangaika sana muhimbili pagumu mzee Makerere nenda tu kuanzia mwezi wapili huko wanaanza application
Halafu pia Makerere ipo juu kuliko hiyo Muhas
 
Acha upotoshaji, Nairobi University ndio inangoza kwa ubora wa taaluma Afrika Mashariki hata kwenye Afya, ikifuatiwa Jomo Kenyatta na Makerere, na kwa upande wa utafiti Makerere inaongoza kwa ubora Africa Mashariki na ni ya pili Afrika.
 
Embu tuonyeshe hiyo takwimu mkuu
Mmbabaishaji huyo anafikiri kukariri na kutisha watu ndio ubora badala ya kuandaa na kuwapika watu vizuri waweze kushindana kimataifa. Mimi na mshauri dogo aombe Makerere inatoa product nzuri zenye uwezo wa kushinda kimataifa.
 
Acha upotoshaji, Nairobi University ndio inangoza kwa ubora wa taaluma Afrika Mashariki hata kwenye Afya, ikifuatiwa Jomo Kenyatta na Makerere, na kwa upande wa utafiti Makerere inaongoza kwa ubora Africa Mashariki na ni ya pili Afrika.
Upo dunia gan wewey
 
Acha upotoshaji, Nairobi University ndio inangoza kwa ubora wa taaluma Afrika Mashariki hata kwenye Afya, ikifuatiwa Jomo Kenyatta na Makerere, na kwa upande wa utafiti Makerere inaongoza kwa ubora Africa Mashariki na ni ya pili Afrika.
IMG_20231106_083251.jpg
Hujui chochote unaongeaongea tu umekariri upuuz wa zaman
 
View attachment 2805565Hujui chochote unaongeaongea tu umekariri upuuz wa zaman
Achana na hii takataka sio vyuo vyote vilipenda kushiriki, tuletee ile ranking ya Kimataifa kila mwaka inatoka na mwaka huu ilitoka mwezi wa 8 ndio ujue. Tangu lini University of Cape Town ulishawahi kupitwa Afrika.
 
Achana na hii takataka sio vyuo vyote vilipenda kushiriki, tuletee ile ranking ya Kimataifa kila mwaka inatoka na mwaka huu ilitoka mwezi wa 8 ndio ujue. Tangu lini University of Cape Town ulishawahi kupitwa Afrika.
Endelea kushangilia vya wengine,wakati hata wale wa sudan walikiri MUHAS ndiyo chuo bora ukanda huu.
 
Hii ndio Uni ranking, Top 200 University 2023. Hii wadau wingi wa elimu na DVCA waliongea namna watakavyofanya kuboresha.
Screenshot_20231106-090418_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom