Kujihisi kushiba muda wote baada ya kula kidogo

Kujihisi kushiba muda wote baada ya kula kidogo

goodhearted

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
978
Reaction score
1,237
Nimekumbwa na tatizo la kujihisi nimeshiba baada ya kula chakula. Nikinywa chai asubuhi utafika usiku bika kuhisi njaa wala kutamani chakula. Sisikii maumivu yoyote na napata choo kama kawaida. Walaam Tatizo laweza kuwa ni nini
 
Japo haichukui nafasi ya daktari lakini inaweza ikakusaidia, inaweza kuwa ni Acid reflux
 
Mara ya mwisho kutumia dawa ya minyoo lini???....Kama ni mda mrefu ( zaidi ya miezi6 )......nenda pharmacy wakupatie dawa ya minyoo (anti-helminth ) preferably mebendazole.....isiposaidia wahi kwa daktari
 
Mara ya mwisho kutumia dawa ya minyoo lini???....Kama ni mda mrefu ( zaidi ya miezi6 )......nenda pharmacy wakupatie dawa ya minyoo (anti-helminth ) preferably mebendazole.....isiposaidia wahi kwa daktari
Asante mkuu, nitaenda kuinunua. Na ni kweli sikumbuki ni lini mara ya mwisho kutumia dawa ya minyoo. Probably ni zaidi ya miaka kama miwili
 
Back
Top Bottom