VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 667
- 917
Habari wakuu.
Mimi ni mwanachuo wa DIT mwaka wa kwanza,ngazi ya Ordinary Diploma in Electrical engineering.
Katika kipindi hiki cha likizo ya wiki mbili,nilikuwa naomba connection kama nitaweza kupata sehemu nikajiegeza kwa ajili ya kupata ujuzi nje ya workshops.
Sehemu iwe yoyote ile,ilimradi inahusu umeme.Na iwe ndani ya mipaka ya mkoa wa Dar es salaam.
Kuhusu barua ya maombi ninayo, cha msingi nipate sehemu ya kuipeleka na wakaipokea.
Nawasilisha.
Mimi ni mwanachuo wa DIT mwaka wa kwanza,ngazi ya Ordinary Diploma in Electrical engineering.
Katika kipindi hiki cha likizo ya wiki mbili,nilikuwa naomba connection kama nitaweza kupata sehemu nikajiegeza kwa ajili ya kupata ujuzi nje ya workshops.
Sehemu iwe yoyote ile,ilimradi inahusu umeme.Na iwe ndani ya mipaka ya mkoa wa Dar es salaam.
Kuhusu barua ya maombi ninayo, cha msingi nipate sehemu ya kuipeleka na wakaipokea.
Nawasilisha.