Kujivunia maendeleo makubwa ya sekta ya barabara ndani ya miaka 60 ya Uhuru bila kumtaja Hayati Magufuli ni makosa makubwa ya kihistoria

Kujivunia maendeleo makubwa ya sekta ya barabara ndani ya miaka 60 ya Uhuru bila kumtaja Hayati Magufuli ni makosa makubwa ya kihistoria

Ukweli unapaswa kuwekwa ndani ya historia yoyote inayoandikwa ili kizazi na kizazi kiweze kupata ukweli wa masuala yanaojili na kuendelea.

Hayati JPM katika utumishi wake wa umma zaidi ya miaka 25 alipigania maendeleo ya barabara hapa nchini.

Kila mtanzania ni shahidi juu hili na hivyo ni vyema historia kuwekwa wazi ili mchango wa hayati JPM kwenye ujenzi wa miundo mbinu ukajulikana kwa vizazi vinavyokuja.

Ikumbukwe hayati JPM alitoa ahadi kuwa watanzania mtapanda taxii kutoka Mtwara mpaka Mtukura na kweli ikatokea. Na alipoanza kupigania maendeleo ya barabara hapa nchini kwetu hali ya barabara ilikuwa mbaya sana.
hakuna mwenye muda mchafu wa kumtaja huyo mungu wenu
 
Ukweli unapaswa kuwekwa ndani ya historia yoyote inayoandikwa ili kizazi na kizazi kiweze kupata ukweli wa masuala yanaojili na kuendelea.

Hayati Magufuli katika utumishi wake wa umma zaidi ya miaka 25 alipigania maendeleo ya barabara hapa nchini.

Kila mtanzania ni shahidi juu hili na hivyo ni vyema historia kuwekwa wazi ili mchango wa hayati JPM kwenye ujenzi wa miundo mbinu ukajulikana kwa vizazi vinavyokuja.

Ikumbukwe hayati Magufuli alitoa ahadi kuwa watanzania mtapanda taxii kutoka Mtwara mpaka Mtukura na kweli ikatokea. Na alipoanza kupigania maendeleo ya barabara hapa nchini kwetu hali ya barabara ilikuwa mbaya sana.
Kwanza.. Alikua anatimiza wajibu wake kama wazir husika wala hakua anapigana ili barabara zijengwe! Pili.. hizo ni kodi za watz wala hakua anatoa pesa na ideas yeye barabara zijengwe wap yeye alikua anatimiza muongozo na dira ya maendeleo ya chama. Tatu.. JK kipind chake ndipo zimejengwa km nyingi za barabara. Hivyo bas nan anapaswa kukumbukwa kweny hili??
 
Na hapa Tanzania hatuna barabara bali tuna vibarabara vingi
 
Hao mawaziri wa ujenzi huko nyuma hawakulipwa mishahara?

Kuita madaraja au barabara majina kuna kosa?
Kama unataka kutoa sifa kwa mabarabara basi Mkapa ndiye anastahili. Mkapa ndiye alileta mapinduzi ya barabarani nchini. aliunda Bodi ya Mfuko wa Barabara (Tanzania Road Fund) ambayo iko empowered kukusanya fedha za barabara kupitia petroli na dizeli tunayonunua kama una gari. Hiyo ndiyo fedha inayo finance ujenzi wa barabara just in case ikisikia chanzo cha ndani. Kwa hiyo JK na Magufuli wamekuta MKAPA kawatengenezea.

Pili Mkapa aliunda TANROADS sambamba na huo mfuko wa maendeleo ya barabara

Mkapa alijenga barabara a Singida- Shelui- Nzega- Mwanza na kufanya Watanzania wa Bukoba na Mwanza waache kupita Kenya na Uganda wakienda makwao.
 
Kama unataka kutoa sifa kwa mabarabara basi Mkapa ndiye anastahili. Mkapa ndiye alileta mapinduzi ya barabarani nchini. aliunda Bodi ya Mfuko wa Barabara (Tanzania Road Fund) ambayo iko empowered kukusanya fedha za barabara kupitia petroli na dizeli tunayonunua kama una gari. Hiyo ndiyo fedha inayo finance ujenzi wa barabara just in case ikisikia chanzo cha ndani. Kwa hiyo JK na Magufuli wamekuta MKAPA kawatengenezea.

Pili Mkapa aliunda TANROADS sambamba na huo mfuko wa maendeleo ya barabara

Mkapa alijenga barabara a Singida- Shelui- Nzega- Mwanza na kufanya Watanzania wa Bukoba na Mwanza waache kupita Kenya na Uganda wakienda makwao.
Wakati Road fund inaanzishwa JPM alikuwa wapi? Wakati Tanroada inaanzishwa JPM alikuwa wapi.

Nani alikuwa msimamizi wa pesa za Road fund ili kujenga mabarabara kwa zaidi ya miaka 20? Nani alikuwa msimamizi wa Tanroad kwa zaid ya miaka 20? Kama sio hayati JPM?

Unadhani kwa nini Hayati Mkapa alimuita askari wa Mwavuri?
 
Ukweli unapaswa kuwekwa ndani ya historia yoyote inayoandikwa ili kizazi na kizazi kiweze kupata ukweli wa masuala yanaojili na kuendelea.

Hayati Magufuli katika utumishi wake wa umma zaidi ya miaka 25 alipigania maendeleo ya barabara hapa nchini.

Kila mtanzania ni shahidi juu hili na hivyo ni vyema historia kuwekwa wazi ili mchango wa hayati JPM kwenye ujenzi wa miundo mbinu ukajulikana kwa vizazi vinavyokuja.

Ikumbukwe hayati Magufuli alitoa ahadi kuwa watanzania mtapanda taxii kutoka Mtwara mpaka Mtukura na kweli ikatokea. Na alipoanza kupigania maendeleo ya barabara hapa nchini kwetu hali ya barabara ilikuwa mbaya sana.
Kweli kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzungumzia ufisadi mkubwa ambao umewahi kuitikisa Tanzania bila kumtaja Magufuli ni makosa makubwa ya Historia.

Magufuli ndiye fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi wake.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

View attachment 2038348View attachment 2038349View attachment 2038370
June 8 2015 kumbe Magu alikuwa Rais tayar?
 
Magufuli hakwepeki nchi hii hata walie, wagale gale, wakiamka watakuta SGR yenye sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta Bwawa kubwa la umeme lenye sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta flyovers zenye sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta ndege kubwa zenye kupendeza lkn zina sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta barabara pana zenye viwango lkn zina sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta meli kubwa pale ziwa Victoria yenye sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta madaraja ya kisasa yenye sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta kampuni ya Twiga inayosimamia madini ya Tanzania ina sura ya Magufuli.

Hata walie wagale gale wakiamka watakuta Dodoma ina sura ya Magufuli.


Magufuli hakwepeki, Magufuli ndiyo muanzilishi wa Tanzania mpya, Magufuli was the real deal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati mbaya wakati wa awamu yake ya urais barabara hazikujengwa na zile alizokuta zimeanza pia zilisimama. Alijitahidi kujenga kilometa chache kwenye makao ya wilaya/mitaa.
 
Ripoti ya CAG siyo kweli?Halafu unanishambulia as if ni maoni yangu binafsi.

Haya siyo maoni yangu binafsi na wala sina mamlaka ya kumwita mtu kuwa ni fisadi.Nilichoandika ni kwa mujibu wa CAG ambae ni mamlaka inayoheshimika sana Tanzania.Nenda kamshambulie CAG ambae aliibua ufisadi huo.
Kuwa na akili kidogo, kwa hiyo ufisadi huo ni Magufuli kaufanywa?
 
Ukweli unapaswa kuwekwa ndani ya historia yoyote inayoandikwa ili kizazi na kizazi kiweze kupata ukweli wa masuala yanaojili na kuendelea.

Hayati Magufuli katika utumishi wake wa umma zaidi ya miaka 25 alipigania maendeleo ya barabara hapa nchini.

Kila mtanzania ni shahidi juu hili na hivyo ni vyema historia kuwekwa wazi ili mchango wa hayati JPM kwenye ujenzi wa miundo mbinu ukajulikana kwa vizazi vinavyokuja.

Ikumbukwe hayati Magufuli alitoa ahadi kuwa watanzania mtapanda taxii kutoka Mtwara mpaka Mtukura na kweli ikatokea. Na alipoanza kupigania maendeleo ya barabara hapa nchini kwetu hali ya barabara ilikuwa mbaya sana.
Sio kila wakati lazima kufanya porojo, za kisisa, aliochemka ntu aambiwe hapa umechenka, alipo fanya vema aambiwe hapa umefanya vyema, uchumia tumbo ndio hasara ya taifa hili, hapa ndio wanapoibuka akina sgang na wote wafananao na wao.
 
Kuwa na akili kidogo, kwa hiyo ufisadi huo ni Magufuli kaufanywa?
Habari za Magufuli kuwa fisadi Papa kwa kupiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ziliandikwa kila mahali ikiwa ni pamoja na hapa JF lakini kwa sababu ya wewe kuwa mjinga unataka kushindana na mimi ila mradi unipotezee muda.

Hukufuatilia ripoti ya CAG?Hufuatilii yanayoendelea katika nchi yako?

20211209.jpg

202112089.jpg
 
Wakati Road fund inaanzishwa JPM alikuwa wapi? Wakati Tanroada inaanzishwa JPM alikuwa wapi.

Nani alikuwa msimamizi wa pesa za Road fund ili kujenga mabarabara kwa zaidi ya miaka 20? Nani alikuwa msimamizi wa Tanroad kwq zaid ya miaka 20? Kama sio hayati JPM?

Unadhani kwa nini Hayati Mkapa alimuita askari wa Mwavuri?
Ukitaka hivyo basi, watu wanaostahili sifa ni wale ma technicians walioendesha ma grader kusawazisha na kumwaga lami. Maana yeye alikuwa msimamizi wa sera ya ujenzi tu, na Katibu Mkuu ndiye alikuwa afisa masuruli
 
Ukitaka hivyo basi, watu wanaostahili sifa ni wale ma technicians walioendesha ma grader kusawazisha na kumwaga lami. Maana yeye alikuwa msimamizi wa sera ya ujenzi tu, na Katibu Mkuu ndiye alikuwa afisa masuruli
Umekosa hoja, inaonekana una chuki binafsi na hayati JPM
 
Back
Top Bottom