Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Dah. Umetutukana mazima sisi WAKIMYA!!!!Njia pekee anayotumia kutoonekana ni Mjinga Huwa ni kukaa Kimya , wao Huwa wanajificha kwenye Mwamvuli wa "Kukaa kimya pia ni Jibu".
Nimekusoma ,Dah. Umetutukana mazima sisi WAKIMYA!!!!
Umenikumbusha Signature ya Invisible
"Ficha upumbavu wako, onyesha HEKIMA yako:
Samia angekua hababaishwi na makombora ya akina Lissu asingemtuma Abdul akawahonge.Mara nyingi sana ,popote pale, Mtu mjinga, ukamkuta amekoswa hata ule uelewa wa kitu kilicho mikononi mwake .
Njia pekee anayotumia kutoonekana ni Mjinga Huwa ni kukaa Kimya , wao Huwa wanajificha kwenye Mwamvuli wa "Kukaa kimya pia ni Jibu".
Watu wa aina hiii hata Makazin, hawaishi kwenda kwa Waganga, Majungu n.k
Na Huwa ni rahisi kukutoa Uhai unapoonekana una mchallenge !!.
Kujitia Mkimya, wakati huohuo unajifananisha na Chura, Chura mpiga kelele, ni Uswahili tu !!.
DP WORLD KAKUTA UWEKEZAJI MKUBWA ALOUFANYA JPM.
Nguvu kubwa isitumike kuaminisha watu na miradi ya makaratasi.
hapo tumepigwa kikubwaHili la dipi weldi ni la kulitafakari
Katiba ya nchi lazima iheshimiwe we nyani.... Samia si mlimfanya wenyewe kuwa VP?Bibi hana ajualo!
Tumlaumu sana Moboyo kwa kujifanya eti analinda katiba ile 2021
Mataahira yanayocontrol nchi ndio yalimuweka hapo ewe mguruwe!Katiba ya nchi lazima iheshimiwe we nyani.... Samia si mlimfanya wenyewe kuwa VP?
Kila mtu anayekusema unajibizana naye. Mtu anakuchallenge au kukudharau unajibizana naye. Hii ni dalili ya ukichaaMara nyingi sana ,popote pale, Mtu mjinga, ukamkuta amekoswa hata ule uelewa wa kitu kilicho mikononi mwake.
Njia pekee anayotumia kutoonekana ni Mjinga Huwa ni kukaa Kimya , wao Huwa wanajificha kwenye Mwamvuli wa "Kukaa kimya pia ni Jibu".
Watu wa aina hiii hata Makazin, hawaishi kwenda kwa Waganga, Majungu n.k
Na Huwa ni rahisi kukutoa Uhai unapoonekana una mchallenge !!.
Kujitia Mkimya, wakati huohuo unajifananisha na Chura, Chura mpiga kelele, ni Uswahili tu !!.
DP WORLD KAKUTA UWEKEZAJI MKUBWA ALOUFANYA JPM.
Nguvu kubwa isitumike kuaminisha watu na miradi ya makaratasi.
Sasa huyu jamaa anataka kila mtu apwayuke tu hata kama kufanya hivyo ni kupoteza energy bure bure. Sio kila jambo lazima unyanyue mdomo.Mithali 17:28
Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.
Alamsiki..