Kukaa kimya ni mbinu wanayoitumia Watu wajinga kuficha udogo na ufinyu wa akili zao

Kukaa kimya ni mbinu wanayoitumia Watu wajinga kuficha udogo na ufinyu wa akili zao

Mkuu ungemalizana na mtu mmoja kuliko kujumuisha watu wengi. Wengine huwa hatufichi madhaifu ila huwa tunapuuza wapuuzi kwa maana kuendana na upuuzi ili kumpa reaction mpuuzi ni upuuzi uliokamilika.

Kwa hiyo si kila mkimya ni mdhaifu au kila ukimya ni udhaifu. Hizo ni njia tu za kutopoteza focus na resources sehemu zisizostahili
 
Mara nyingi sana ,popote pale, Mtu mjinga, ukamkuta amekoswa hata ule uelewa wa kitu kilicho mikononi mwake.

Njia pekee anayotumia kutoonekana ni Mjinga Huwa ni kukaa Kimya , wao Huwa wanajificha kwenye Mwamvuli wa "Kukaa kimya pia ni Jibu".

Watu wa aina hiii hata Makazin, hawaishi kwenda kwa Waganga, Majungu n.k

Na Huwa ni rahisi kukutoa Uhai unapoonekana una mchallenge !!.

Kujitia Mkimya, wakati huohuo unajifananisha na Chura, Chura mpiga kelele, ni Uswahili tu !!.

DP WORLD KAKUTA UWEKEZAJI MKUBWA ALOUFANYA JPM.

Nguvu kubwa isitumike kuaminisha watu na miradi ya makaratasi.
Fijra za kipungywani hizo.

Mwenye akili hakupi sababu ya kukufurahisha kwa kusema kqako, anakukalia kimya tu, kakudharau, u punguwani tu. Bwabwaja uhororoje mpaka utapike.
 
Ni heri katiba ingevunjwa mwaka 2021 kuliko kumpa umalkia huyu MAMA ABDURI aliyefeli form four.

Sijui hata walimuokota wapi?
 
Mara nyingi sana ,popote pale, Mtu mjinga, ukamkuta amekoswa hata ule uelewa wa kitu kilicho mikononi mwake.

Njia pekee anayotumia kutoonekana ni Mjinga Huwa ni kukaa Kimya , wao Huwa wanajificha kwenye Mwamvuli wa "Kukaa kimya pia ni Jibu".

Watu wa aina hiii hata Makazin, hawaishi kwenda kwa Waganga, Majungu n.k

Na Huwa ni rahisi kukutoa Uhai unapoonekana una mchallenge !!.

Kujitia Mkimya, wakati huohuo unajifananisha na Chura, Chura mpiga kelele, ni Uswahili tu !!.

DP WORLD KAKUTA UWEKEZAJI MKUBWA ALOUFANYA JPM.

Nguvu kubwa isitumike kuaminisha watu na miradi ya makaratasi.
Walinda legacy kazi mnayo.......mratukana mpaka midomo iwakauke lkn mwamba a,escape,a hahangaiki na nyie vinabo.
Akiamua kuwa mkatili anaweza kuwasagilia mbali nyote nyie na upunga wenu.
 
Mara nyingi sana ,popote pale, Mtu mjinga, ukamkuta amekoswa hata ule uelewa wa kitu kilicho mikononi mwake.

Njia pekee anayotumia kutoonekana ni Mjinga Huwa ni kukaa Kimya , wao Huwa wanajificha kwenye Mwamvuli wa "Kukaa kimya pia ni Jibu".

Watu wa aina hiii hata Makazin, hawaishi kwenda kwa Waganga, Majungu n.k

Na Huwa ni rahisi kukutoa Uhai unapoonekana una mchallenge !!.

Kujitia Mkimya, wakati huohuo unajifananisha na Chura, Chura mpiga kelele, ni Uswahili tu !!.

DP WORLD KAKUTA UWEKEZAJI MKUBWA ALOUFANYA JPM.

Nguvu kubwa isitumike kuaminisha watu na miradi ya makaratasi.
Misguided anger
 
Unaweza kujibizana au kumjibu mtu kama una ufahamu na weledi wa kile alichokusema nacho. Kama huna mara nyingi kukaa kimya ni bora zaidi.
 
Back
Top Bottom