Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Mkuu ungemalizana na mtu mmoja kuliko kujumuisha watu wengi. Wengine huwa hatufichi madhaifu ila huwa tunapuuza wapuuzi kwa maana kuendana na upuuzi ili kumpa reaction mpuuzi ni upuuzi uliokamilika.
Kwa hiyo si kila mkimya ni mdhaifu au kila ukimya ni udhaifu. Hizo ni njia tu za kutopoteza focus na resources sehemu zisizostahili
Kwa hiyo si kila mkimya ni mdhaifu au kila ukimya ni udhaifu. Hizo ni njia tu za kutopoteza focus na resources sehemu zisizostahili