Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
πππSamia angekua hababaishwi na makombora ya akina Lissu asingemtuma Abdul akawahonge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππSamia angekua hababaishwi na makombora ya akina Lissu asingemtuma Abdul akawahonge.
π₯±π₯±π₯±Yule mama hata akizungumza tu unamuona kuwa ni empty set
πββοΈππππ€πππππ‘οΈMtu mjinga hana hekima ya kukaa kimya..Kukaa kimya kunahitaji mental control kubwa...mjinga atabwabwaja tu ili aonekane naye yumo, mjinga hawezi kuficha ujinga wake na hajui kama anaongea ujinga.
Mama ni wewe?Teuzi hizo basi nikumbukwe na mimi hali ngumu kitaa huku bora tuwe wengi wa kukusemea mazuri huku mtaaniKila mtu anayekusema unajibizana naye. Mtu anakuchallenge au kukudharau unajibizana naye. Hii ni dalili ya ukichaa
Nina mambo mengi sana ya kufanya kuliko kuhangaika na upumbavu wa mtu
Nikiona unafuatilia sana maisha yangu, nakuzima.
Yule mama hata akizungumza tu unamuona kuwa ni empty set
Nimeona na kukwapua hayo juu.DP WORLD KAKUTA UWEKEZAJI MKUBWA ALOUFANYA JPM.
πββοΈπππ€ππππ‘οΈHekima huwa inaenda Sawa sawa na kukaa kimya.
Silence has no meaning, rather it depicts ignorance!
Iheshimiwe na nani yeye mwenyewe wa kuilinda anaiita "kijitabu"Katiba ya nchi lazima iheshimiwe we nyani.... Samia si mlimfanya wenyewe kuwa VP?
tuachie mahi wetu.Yule mama hata akizungumza tu unamuona kuwa ni empty set
Kabisatuachie mahi wetu.
Kwenda kuhonga watu kama wale aisee ni kujitafutia dhahama tu,ππSamia angekua hababaishwi na makombora ya akina Lissu asingemtuma Abdul akawahonge.
The less you speak, the wiser you are.Mara nyingi sana ,popote pale, Mtu mjinga, ukamkuta amekoswa hata ule uelewa wa kitu kilicho mikononi mwake.
Njia pekee anayotumia kutoonekana ni Mjinga Huwa ni kukaa Kimya , wao Huwa wanajificha kwenye Mwamvuli wa "Kukaa kimya pia ni Jibu".
Watu wa aina hiii hata Makazin, hawaishi kwenda kwa Waganga, Majungu n.k
Na Huwa ni rahisi kukutoa Uhai unapoonekana una mchallenge !!.
Kujitia Mkimya, wakati huohuo unajifananisha na Chura, Chura mpiga kelele, ni Uswahili tu !!.
DP WORLD KAKUTA UWEKEZAJI MKUBWA ALOUFANYA JPM.
Nguvu kubwa isitumike kuaminisha watu na miradi ya makaratasi.
Kahubiri kanisaniUkisoma muhubiri 9:11
Utajua kuwa kuinuliwa na kukaa juu sio lazima uwe na A+ bali MUNGU tu.