MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Ni wapumbavu pekee huamini kuwa waliokuwa wanalalamikia utawala ule ni wa vyeti feki, na ni wapumbavu pekee waliokubali kukaririshwa propaganda ile wakaikubali, na itoshe kukutaarifu kuwa mojawapo ya wapumbavu naowaongelea hapa ni pamoja na wewe. Hata mbinuke hata mpasuke hamtaondoa ukweli kuwa jiwe hakuwa mtu kabisa na 17/3 ni siku ambayo wazalendo halisi wa nchi hii walilala kwa furaha sanaMmechelewa sana , wenye pesa na vyeti feki walikuwa wanawadanganya jmaa ni dikteta
Wewe fala kweli! Ujinga huu ukiwaambia watoto wa Mwangosi au Dr Mvingi watakuelewa? Wewe unachojua ni kushabikia akina na Arozi na Tundu Lisu!At least hao hata kama walifanya/wamefanya mabaya lakini ni mambo ya kiutawala. Ila Jiwe alikuwa anafanya maovu ili kumkomoa mtu flani,ndiyo maana kifo chake kuna watu mpaka walichinja ng'ombe
Sasa msiokuwa na vyeti mbona nanyi mnahangaikia ajira za wenye vyeti? Tumieni maarifa yenu kuwaajiri wenye vyeti kama afanyavyo Bakhresa.Akili yako inawaza vyeti tu na wala sio Maarifa.
Unazunguka kutwa nzima na bahasha iliyojaa vyeti kwenda kuomba kazi kwa Jah People, Bakhresa ambao hawana hivyo vyeti.
Foolish!!
All in all, he is the best president ever in our country. Few people who don't have a significant impact criticized JPM. However the majority of the Tanzanian witnessed him as, a, hero. Regard.Jiwe yeye alikuja na sera ya uporaji mchana kweupu!
Na vijana wa kisukuma wengi walijiita uasalama wa Taifa na wakaanza uporaji!
Kivipi? Fafanua na sisi tukupe sababu zisizopungua alfu 2 kwa nini apondweUkiona jitu linamponda Magufuli ujue :Ni jambazi, lilikuwa na vyeti fake, fisadi.
Maelezo hapo juu yanajitosheleza.Kivipi? Fafanua na sisi tukupe sababu zisizopungua alfu 2 kwa nini apondwe
Vyeti feki tulia! Huwezi kushika hata nyadhifa huko porini kwenu fala mkubwa.Ni wapumbavu pekee huamini kuwa waliokuwa wanalalamikia utawala ule ni wa vyeti feki, na ni wapumbavu pekee waliokubali kukaririshwa propaganda ile wakaikubali, na itoshe kukutaarifu kuwa mojawapo ya wapumbavu naowaongelea hapa ni pamoja na wewe. Hata mbinuke hata mpasuke hamtaondoa ukweli kuwa jiwe hakuwa mtu kabisa na 17/3 ni siku ambayo wazalendo halisi wa nchi hii walilala kwa furaha sana
Mbona misiba mingi Tu watu wanachinja ng'ombeAt least hao hata kama walifanya/wamefanya mabaya lakini ni mambo ya kiutawala. Ila Jiwe alikuwa anafanya maovu ili kumkomoa mtu flani,ndiyo maana kifo chake kuna watu mpaka walichinja ng'ombe
Kwa mfano Wewe una furaha gani hapo ulipo?πΌπNi wapumbavu pekee huamini kuwa waliokuwa wanalalamikia utawala ule ni wa vyeti feki, na ni wapumbavu pekee waliokubali kukaririshwa propaganda ile wakaikubali, na itoshe kukutaarifu kuwa mojawapo ya wapumbavu naowaongelea hapa ni pamoja na wewe. Hata mbinuke hata mpasuke hamtaondoa ukweli kuwa jiwe hakuwa mtu kabisa na 17/3 ni siku ambayo wazalendo halisi wa nchi hii walilala kwa furaha sana
Watu walichinja kama kufanya sherehe, hao unaowasema wanachinja kama chakula,sema ndiyo hivyo upeo wako ulipoishia. Ndiyo maana watu wanakusema umezeeka akili kabla ya mwiliMbona misiba mingi Tu watu wanachinja ng'ombe
Hata kwa Ndesa πΌ
Sasa mimi na vyeti wapu na wapi? Una akili ndogo sana kudhani kuwa kila mtu anategemea vyeti kuendesha maisha yake. Banafsi nakuona kama Bashite tuWewe fala kweli! Ujinga huu ukiwaambia watoto wa Mwangosi au Dr Mvingi watakuelewa? Wewe unachojua ni kushabikia akina na Arozi na Tundu Lisu!
Kushangilia kwa waovu wala rushwa na wauza madawa ya kulevywa na wenye vyeti feki kama wewe hapo hakuna hasara bali ni faida tupu!
Kwanza hata wewe hapo ulipo huna uhakika kama watu hawatashangilia siku ya kufa kwako au ujinga ndo umekujaa kwenye bichwa lako hilo!?
Punguiza upuuzi mauaji ni mauaji tu haijalishi yamefavywa na system au mtu binafsi! Kila mpenda haki inabidi apinge unyama huu wa kishenzi unaofavywa na CCM na serkali yake!
Unadhani wewe na ukoo wako mnafikia maisha na mafanikio Makonda? Ulishaona wapi mkuu wa mkoa anaongea yuko tayari kuwa mkuu wa mkoa hata wa siku moja? Hapo inaonesha hana njaa kama wewe!Sasa mimi na vyeti wapu na wapi? Una akili ndogo sana kudhani kuwa kila mtu anategemea vyeti kuendesha maisha yake. Banafsi nakuona kama Bashite tu
Wewe unaogopa kusemwa?! ππWatu walichinja kama kufanya sherehe, hao unaowasema wanachinja kama chakula,sema ndiyo hivyo upeo wako ulipoishia. Ndiyo maana watu wanakusema umezeeka akili kabla ya mwili
Wapinzani na rafiki zao kina Januari mlimuonea sana shujaa Magufuli!! Wakawa wanabeba maiti zisizonna ndugu na kuzitia kwenye viroba kisha kumsingizia shujaa!! Mtakufa midomo ikiwa waziKuna mambo Mawili muhimu sana,
Mosi: Amri ya kukamatwa Meya wa zamani wa Ubungo Mh. Boniface Jacob na Mwanaharakati mwingine wa CHADEMA Mh. Malisa iliyotolewa na Kamanda wa Kanda maalum ya Dar juu uzushi wao kwamba Polisi walihusika kifo cha mtu aitwaye Mushi.
Pili: Mwanasheria Nguli Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Wakili wa Bonny na Malisa.
Kesi hii tutajifunza mambo mengi sana ya kimfumo kuanzia tuanze Siasa za Vyama Vingi.
Ikumbukwe wakati wa Mwangosi Shujaa Magufuli hakuwepo na hata sasa ni Mushi Shujaa hayupo.
Mungu wa Mbinguni awabariki ufuatiliaji kwa Haki.
Ahsanteni. πΌ
Mi nadhani ilikuwa ajenda yao kabisa CHADEMA, baadhi ya wana CCM na baadhi ya wanaharakati ili kumchafua JPM ili aonekane ni kiongozi asiyefaa na katili!Wapinzani na rafiki zao kina Januari mlimuonea sana shujaa Magufuli!! Wakawa wanabeba maiti zisizonna ndugu na kuzitia kwenye viroba kisha kumsingizia shujaa!! Mtakufa midomo ikiwa wazi
Polisi huwa wanatishwa?unajaribu kutisha polisi?
Hujui unaongea nini,nyamaza tuuUkiona jitu linamponda Magufuli ujue :Ni jambazi, lilikuwa na vyeti fake, fisadi.
Kusemwa lazima usemwe tu, hata uwe timamu au uwe kama Bashite lazima usemwe tu.Wewe unaogopa kusemwa?! ππ
Mkuu jaribu basi kutumia akili hata kidogo tu, je unajua kuwa Jiwe alikuwa na vyeti feki au hujui? Pia siyo kila mtu anahitaji vyeti kuendesha maisha yake. Ndiyo maana mliitwa wanyonge na mkawa mnabinuka na kufurahi huku watu wanapiga pesa πππWewe fala kweli! Ujinga huu ukiwaambia watoto wa Mwangosi au Dr Mvingi watakuelewa? Wewe unachojua ni kushabikia akina na Arozi na Tundu Lisu!
Kushangilia kwa waovu wala rushwa na wauza madawa ya kulevywa na wenye vyeti feki kama wewe hapo hakuna hasara bali ni faida tupu!
Kwanza hata wewe hapo ulipo huna uhakika kama watu hawatashangilia siku ya kufa kwako au ujinga ndo umekujaa kwenye bichwa lako hilo!?
Punguiza upuuzi mauaji ni mauaji tu haijalishi yamefavywa na system au mtu binafsi! Kila mpenda haki inabidi apinge unyama huu wa kishenzi unaofavywa na CCM na serkali yake!