Kukamatwa kwa Mtanzania Kiongozi wa Waasi nchini Msumbiji: Kwanini hakuripotiwi na Vyombo vyetu?

Kukamatwa kwa Mtanzania Kiongozi wa Waasi nchini Msumbiji: Kwanini hakuripotiwi na Vyombo vyetu?

Hii ni hatari nchi mambo yanatokea na wapo kimya na tutaanza kudhuhudia akina Ally wengi tu maana ndio muda wao wa kutamba huu
 
Habarini za Asubuhi Watanzania wenzangu, BBC wameripoti kupatikanika kwa kiongozi wa waasi ambaye ni raia wa Tanzania.

Vikosi vya jeshi la Msumbiji vinasema kuwa vimemkamata kiongozi wa kijihadi, raia wa Tanzania, katika wilaya ya Nangade kaskazini mwa jimbo la Cabo Delgado.

Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 39, anayejulikana kama Ali, alikamatwa pamoja na wanamgambo wengine wa Kiislamu sita wenye uhusiano na kundi la Islamic State, maafisa wa kijeshi wameeleza.

Amesema alikuwa mmoja wa viongozi wa wanamgambo ambao kazi yao ilikuwa kuajiri wapiganaji na kutekeleza mashambulizi ya moja kwa moja.

Kukamatwa kwake kunakuja huku kukiwa na hali mbaya ya usalama katika wilaya hiyo, na mfululizo wa mashambulizi ya wanajihadi katika siku za hivi karibuni.

View attachment 2087503
Ni haibu kubwa mnoooo
 
Habarini za Asubuhi Watanzania wenzangu, BBC wameripoti kupatikanika kwa kiongozi wa waasi ambaye ni raia wa Tanzania.

Vikosi vya jeshi la Msumbiji vinasema kuwa vimemkamata kiongozi wa kijihadi, raia wa Tanzania, katika wilaya ya Nangade kaskazini mwa jimbo la Cabo Delgado.

Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 39, anayejulikana kama Ali, alikamatwa pamoja na wanamgambo wengine wa Kiislamu sita wenye uhusiano na kundi la Islamic State, maafisa wa kijeshi wameeleza.

Amesema alikuwa mmoja wa viongozi wa wanamgambo ambao kazi yao ilikuwa kuajiri wapiganaji na kutekeleza mashambulizi ya moja kwa moja.

Kukamatwa kwake kunakuja huku kukiwa na hali mbaya ya usalama katika wilaya hiyo, na mfululizo wa mashambulizi ya wanajihadi katika siku za hivi karibuni.

View attachment 2087503
Kama askar wenyewe wa msumbiji ndio hao basi kazi ipo
 
Hii ni hatari nchi mambo yanatokea na wapo kimya na tutaanza kudhuhudia akina Ally wengi tu maana ndio muda wao wa kutamba huu
Mvua ikinyesha maficho mengi hivyo wanatoka mijini au majumbani na wanaenda polini kwa kozi na utekelezaji wa mipango yao
 
Nani kathibitisha uraia wa huyo jamaa- au kuongea Kiswahili ndio uthibitisho wa Uraia. Mambo haya hayaitaji papara- viache vyombo vya habari vifanye kazi yao ya uhakiki wa Taarifa. Vyombo vya Tz vikitangaza bila uhakika ni kwa faida ya nani? Wanalichafua Taifa gani? BBC wao wapo kwenye mashindano ya breaking news- ya vyombo vya habari vya kimataifa.
Vyombo vya nje vinatangaza hivyo na sisi tupo kimya kisa hatuna ushahidi wa kutosha, mm niseme tu inabidi tukatae au tukubali. Kwani kukaa kimya itafanya wanayoyasema wao hata kama kuna chumvi nyingi ila ndio ukweli wenyewe utakuwa.
 
BBC sio Tbc taarifa zao huwa ni za uhakika wanzifanyia uchunguzi.
Check BBC eyes kwa taarifa zote za uchunguzi.
Huyo Ali mbona anafahamika kwa wakazi wa vijijini jirani na Msumbiji hata familia yake inafahamika.Ni muhuni fulani hivi asiyeijua dini zaidi ya mambo ya kuiga.
Nona sasa
 
Vyombo vya nje vinatangaza hivyo na sisi tupo kimya kisa hatuna ushahidi wa kutosha, mm niseme tu inabidi tukatae au tukubali. Kwani kukaa kimya itafanya wanayoyasema wao hata kama kuna chumvi nyingi ila ndio ukweli wenyewe utakuwa.
Ukweli ni kwamba, Tanzania imekuwa nchi ya kinafiki ever since we didn't attain indepence.

Watu wanakulia Tanzania wanaenda kuendesha guerilla war nchi za jirani na wanachukua madaraka naamini Hawa watu Tanzania inawajua na walisaidiwa na sisi wenyewe kama ambavyo marekani alisaidia wapiganaji wengi kupindua serikali zao.

Angalia Samora Machel alipochukua uongozi kwa Dos Santosh, angalia alikuwa anasapotiwa na nani? Angalia akina Lumumba, Kabila, Kagame, Museveni, Obote yaani hata mapinduzi ya Zanzibar ni Tanganyika halafu tunajifanya kukaa kimya wakitugeuka same as mzee Karume na Abdul Jumbe walishachoka muungano ingali wao waliwekwa na Tanganyika.

Hawa wanapigana guerilla fighters wa Cape Delgado wamekuwepo Somanga, Lindi na Ikwiriri miaka mingi wakapita kutokea Somalia kwenda huko walipo. Pia walifundisha na vijana wa Ikwiriri ndio maana ikabidi kufanya yale yaliyofanyika pale Kibiti!!!

Jambo la kujiuliza serikali ilikuwa haijui kweli kabisa mbona wananchi walikuwa wanajua miaka mingi kabla ya Ile barabara ya Mtwara kujengwa?????

Hii curfew ya Kibiti Hadi OCD kuuwawa mbona iliendeshwa kimyakimya Ina maana kilichowastua ni nini? Na kwa nini ilikuwa ya nyumba kwa nyumba?

Tatizo serikali yetu imezoea kufanya kazi kwa kila kitu kuwa classified wakati tunayaona mitaani huku.

Hivi vikundi vya ugaidi vimekuwa funded nchini hapahapa na wanajua kabisa. Jiulize toka kipindi kile Cha machafuko ya msikiti wa mwembechai kulikamatwa kontena Ina mapanga na majambia kule pwani ya Lindi kwenye Bandari bubu lakini zilijulikana zinaenda wapi mpaka mzee Makamba alielezea enzi Ile alikuwa RC wa Dar.

Haya mambo serikali inayafahamu. Silaha zinapita kwetu kila siku kwenda Congo kwa waasi Ila pia sisi tupo upande wa UN tunapigana na hao waasi.

Silaha wanazopata waasi wa Congo zinatoka Rwanda ambaye anawapa bure sababu ana interest kule kwa banyamulenge ambao ni watu wake. Hizo silaha zinapita kihalali bongo Ila wanapelekwa kwa waasi kwa mwavuli wa Rwanda na unajulikana Ila wanajifanya hawajui wanashangaa.

Tanzania tuache unafiki wa ku-fund hizi Vita hatupati faida yeyote.
 
Habarini za Asubuhi Watanzania wenzangu, BBC wameripoti kupatikanika kwa kiongozi wa waasi ambaye ni raia wa Tanzania.

Vikosi vya jeshi la Msumbiji vinasema kuwa vimemkamata kiongozi wa kijihadi, raia wa Tanzania, katika wilaya ya Nangade kaskazini mwa jimbo la Cabo Delgado.

Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 39, anayejulikana kama Ali, alikamatwa pamoja na wanamgambo wengine wa Kiislamu sita wenye uhusiano na kundi la Islamic State, maafisa wa kijeshi wameeleza.

Amesema alikuwa mmoja wa viongozi wa wanamgambo ambao kazi yao ilikuwa kuajiri wapiganaji na kutekeleza mashambulizi ya moja kwa moja.

Kukamatwa kwake kunakuja huku kukiwa na hali mbaya ya usalama katika wilaya hiyo, na mfululizo wa mashambulizi ya wanajihadi katika siku za hivi karibuni.

View attachment 2087503
mbona watz waasi wapo wengi tuu, ni vile hawajaamua kujionyesha na kulianzisha tuu, na wengi ni wasomi walo kosa ajira, kwa huku Tz wanasubiri tuu serikali ijiingize kwenye 18 zao vzr, ili waliamshe dude barabaraaaa.
 
Vyombo vyetu vya habari haviwezi kuripoti habari hiyo kwa kuwa itatuharibia sifa na pia hivyo vyombo serikali itavifungia kwa uchochezi
Sio kweli na nakukumbusha tu hii ni serikali ya 6 ambayo inaniamini sana na uweledi upo pia
 
Ukweli ni kwamba, Tanzania imekuwa nchi ya kinafiki ever since we didn't attain indepence.

Watu wanakulia Tanzania wanaenda kuendesha guerilla war nchi za jirani na wanachukua madaraka naamini Hawa watu Tanzania inawajua na walisaidiwa na sisi wenyewe kama ambavyo marekani alisaidia wapiganaji wengi kupindua serikali zao.

Angalia Samora Machel alipochukua uongozi kwa Dos Santosh, angalia alikuwa anasapotiwa na nani? Angalia akina Lumumba, Kabila, Kagame, Museveni, Obote yaani hata mapinduzi ya Zanzibar ni Tanganyika halafu tunajifanya kukaa kimya wakitugeuka same as mzee Karume na Abdul Jumbe walishachoka muungano ingali wao waliwekwa na Tanganyika.

Hawa wanapigana guerilla fighters wa Cape Delgado wamekuwepo Somanga, Lindi na Ikwiriri miaka mingi wakapita kutokea Somalia kwenda huko walipo. Pia walifundisha na vijana wa Ikwiriri ndio maana ikabidi kufanya yale yaliyofanyika pale Kibiti!!!

Jambo la kujiuliza serikali ilikuwa haijui kweli kabisa mbona wananchi walikuwa wanajua miaka mingi kabla ya Ile barabara ya Mtwara kujengwa?????

Hii curfew ya Kibiti Hadi OCD kuuwawa mbona iliendeshwa kimyakimya Ina maana kilichowastua ni nini? Na kwa nini ilikuwa ya nyumba kwa nyumba?

Tatizo serikali yetu imezoea kufanya kazi kwa kila kitu kuwa classified wakati tunayaona mitaani huku.

Hivi vikundi vya ugaidi vimekuwa funded nchini hapahapa na wanajua kabisa. Jiulize toka kipindi kile Cha machafuko ya msikiti wa mwembechai kulikamatwa kontena Ina mapanga na majambia kule pwani ya Lindi kwenye Bandari bubu lakini zilijulikana zinaenda wapi mpaka mzee Makamba alielezea enzi Ile alikuwa RC wa Dar.

Haya mambo serikali inayafahamu. Silaha zinapita kwetu kila siku kwenda Congo kwa waasi Ila pia sisi tupo upande wa UN tunapigana na hao waasi.

Silaha wanazopata waasi wa Congo zinatoka Rwanda ambaye anawapa bure sababu ana interest kule kwa banyamulenge ambao ni watu wake. Hizo silaha zinapita kihalali bongo Ila wanapelekwa kwa waasi kwa mwavuli wa Rwanda na unajulikana Ila wanajifanya hawajui wanashangaa.

Tanzania tuache unafiki wa ku-fund hizi Vita hatupati faida yeyote.
Kuna kitu unajua hasa kuhusu terrorist threats ebu tufumbue macho ndugu.
 
Habarini za Asubuhi Watanzania wenzangu, BBC wameripoti kupatikanika kwa kiongozi wa waasi ambaye ni raia wa Tanzania.

Vikosi vya jeshi la Msumbiji vinasema kuwa vimemkamata kiongozi wa kijihadi, raia wa Tanzania, katika wilaya ya Nangade kaskazini mwa jimbo la Cabo Delgado.

Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 39, anayejulikana kama Ali, alikamatwa pamoja na wanamgambo wengine wa Kiislamu sita wenye uhusiano na kundi la Islamic State, maafisa wa kijeshi wameeleza.

Amesema alikuwa mmoja wa viongozi wa wanamgambo ambao kazi yao ilikuwa kuajiri wapiganaji na kutekeleza mashambulizi ya moja kwa moja.

Kukamatwa kwake kunakuja huku kukiwa na hali mbaya ya usalama katika wilaya hiyo, na mfululizo wa mashambulizi ya wanajihadi katika siku za hivi karibuni.

View attachment 2087503
Ally kuwa gaidi ni sahihi. Lakini Elikael!!
 
Back
Top Bottom