SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 254
- 497
Habarini wana JF,
Juzi kuna jambo limenitafakarisha sana nmeenda dukani haya maduka ya bidhaa za rejareja ni barabaran kuna maduka kadhaa na kuna banda la chips na salon.
Nmefika kwanza nmemkuta muuzaji kijana hivi kwa kukadiria miaka 17 au 18 anachezea simu yupo bize sana ikabidi nimshtue kwa kugonga meza ndo akashtuka na kunisikiliza. Nkamwambia naomba juice ya embe ya elfu moja na maji ya mia tano, nkatoa noti ya Elfu Kumi, huwezi amini dogo alinirudishia pesa akasema sina chenchi broo kanunue kwa maduka mengine.
Nkawa kama sijamuelewa vizuri nikahisi anasema juice hamna wakati naziona kwenye shelfu, nakmuuliza unasema juisi hamna? Akasema broo chenchi sina ila juice ipo kanunue duka lingine tu.
Nlimuangalia sana yule dogo akarudi kukaa na kuendelea kuchezea simu yake. Aisee wenye maduka kuweni makin na hawa vijana wanaowauzia au kama ni ndugu yako umeweka akuuzie kuwa nae makini.
Imenishangaza sana kwa sababu alikua na uwezo wa kutoka kuomba kwa wafanyabiashara wenzake pale nje.
Juzi kuna jambo limenitafakarisha sana nmeenda dukani haya maduka ya bidhaa za rejareja ni barabaran kuna maduka kadhaa na kuna banda la chips na salon.
Nmefika kwanza nmemkuta muuzaji kijana hivi kwa kukadiria miaka 17 au 18 anachezea simu yupo bize sana ikabidi nimshtue kwa kugonga meza ndo akashtuka na kunisikiliza. Nkamwambia naomba juice ya embe ya elfu moja na maji ya mia tano, nkatoa noti ya Elfu Kumi, huwezi amini dogo alinirudishia pesa akasema sina chenchi broo kanunue kwa maduka mengine.
Nkawa kama sijamuelewa vizuri nikahisi anasema juice hamna wakati naziona kwenye shelfu, nakmuuliza unasema juisi hamna? Akasema broo chenchi sina ila juice ipo kanunue duka lingine tu.
Nlimuangalia sana yule dogo akarudi kukaa na kuendelea kuchezea simu yake. Aisee wenye maduka kuweni makin na hawa vijana wanaowauzia au kama ni ndugu yako umeweka akuuzie kuwa nae makini.
Imenishangaza sana kwa sababu alikua na uwezo wa kutoka kuomba kwa wafanyabiashara wenzake pale nje.