Kukataa kumuuzia mteja bidhaa kisa chenji

Kukataa kumuuzia mteja bidhaa kisa chenji

Kweli kabisa dogo mpumbavu tu kuna muda unakuta wateja hamna yeye badala ya kutafuta chenchi anachezea simu,
Akatafute wapi hiyo chenchi?

Na vipi kama kabla ya huyo mteja boya kuja , kuna mteja mwingine alitangulia kisha dogo akatafuta chenchi akakosa..?

Mnapoambiwa chenchi hakuna eleweni na muende kwenye maduka mengine.
 
Me naeza nikafungua na chenji ya 300k lakini kama siku iyo chenji ni majanga unakuta kufika sa 7- 8 mchana nikawa nateseka na kuomba chenji,

Na naeza nikafungua goli bila chenji kabisa lakini siku iyo nisinyanyuke ata mara moja kwenda kuomba chenji coz unakuta siku iyo wateja wengi wanakuja na pesa ndogo au na pesa kamili,

Sijui kama umenielewa nini namanisha!
Watu hawaelewi, wapo hapa kuropoka tu.
 
Alafu utalisikia jitu linalalama et biashara ngumu hakuna wateja, kumbe tabia yake ya uvivu na ulegevu kazin ndio inaliponza,

Hii ipo kwa waTanzania wafanyabiashara wengi sana, na sio chenji tu bali hata wepesi wa kumuhudumia mteja watu wengi hii hawana, unamkuta mfanyabiashara anajishauwa anataka umbembeleze wakati pesa yako mwenyewe, nayeye ndie muhitaji wa pesa yako,

mi huwa nikifika madukani nataka muuzaji aoneshe uhitaji na unyenyekevu ama sivyo nitamporomoshea maneno hayo mpaka ajute kufanya biashara,

Na ndio hawa hawa hawakawii kuita wenzao wachawi wakiona wamefanikiwa, kumbe siri iko kwenye namna ya kudili na wateja, unihudumie hovyo na kwa uzembe utegemee nirudi kukuungisha? Sitorudi kamwe, na sitoishia kukupita tu bali nitawashawishi na watu wengine wakukimbie ili ukose wateja akili ikukae sawa ndipo ujuwe wapi unakosea.

Tunahitaji sana Elimu ya biashara haswa kwa hawa wakurupukaji wasiojali wateja.
Nikunyenyekee? We fala kweli yanii, kwenye biashara hakuna swala la kunyenyekeana kiboya, lipa nikupe huduma au bidhaa upite hivi.

Boya kweli yani, we umefata bidhaa au kunyenyekewa?[emoji23].

Uniporomoshee matusi kiboya, mbona watakuokota mbele ya biashara yangu.

Labda kama ulimaanisha ikiwa utakuta mhudumu wa kike.
 
Ilinikuta bukoba hiyo tena pale center. Nina elfu5 nataka mswaki na dawa ya meno. Jamaa akanijibu katafute kwanza chenchi kwa wale boda boda ukipata njoo ununue. [emoji28][emoji28] ilibidi tu niachane na habari za kuswaki siku ile
😳🙋
 
Watu wengi humu mnaongea tu na kumlaumu dogo kwa kusema hana chenji. Ok mimi nimeuza duka la rejareja zaidi ya miaka 10 ngoja niwape uzoefu wangu kwenye chenji.

Asubuhi na mapema watu wengi wenye shida na chenji huwa wanaenda madukani unakuta mtu anatoa elf 10 ananunua kitu cha mia 3. Sasa ukihudumia watu kama hawa 5 mpaka 6 kwa asubuhi yani saa 4 inafika huna chenji kabisa na kushindwa kutoa huduma. Yani siku nzima ww kazi yako itakua kuenda kuomba chenji kwa wafanyabiashara wenzio na huwezi amini ni ngumu sababu ya ushindani. Ule muda unafunga duka kuzunguka kutafta chenji unakosa wateja.

Jinsi ya kumanage chenji ni akili kwenye biashara muda mwingine muuzaji unabidi uwe mchoyo wa chenji ata kama unazo hasa mida ya asubuhi na mchana maana ndo unaanza siku na usipokua makini siku nzima inaharibika. Utakosa mauzo makubwa kwa huruma zako. Kwenye biashara roho ngumu ni lazima iwepo
 
Watu wengi humu mnaongea tu na kumlaumu dogo kwa kusema hana chenji. Ok mimi nimeuza duka la rejareja zaidi ya miaka 10 ngoja niwape uzoefu wangu kwenye chenji.

Asubuhi na mapema watu wengi wenye shida na chenji huwa wanaenda madukani unakuta mtu anatoa elf 10 ananunua kitu cha mia 3. Sasa ukihudumia watu kama hawa 5 mpaka 6 kwa asubuhi yani saa 4 inafika huna chenji kabisa na kushindwa kutoa huduma. Yani siku nzima ww kazi yako itakua kuenda kuomba chenji kwa wafanyabiashara wenzio na huwezi amini ni ngumu sababu ya ushindani. Ule muda unafunga duka kuzunguka kutafta chenji unakosa wateja.

Jinsi ya kumanage chenji ni akili kwenye biashara muda mwingine muuzaji unabidi uwe mchoyo wa chenji ata kama unazo hasa mida ya asubuhi na mchana maana ndo unaanza siku na usipokua makini siku nzima inaharibika. Utakosa mauzo makubwa kwa huruma zako. Kwenye biashara roho ngumu ni lazima iwepo
watu wanaongea tu humu hawajawahi kuuza duka la rejareja hasa la vitu vya nyumbani vya kila siku. hapo tatizo la huyo muuzaji ni simu ila sio chenji
 
Watu wengi humu mnaongea tu na kumlaumu dogo kwa kusema hana chenji. Ok mimi nimeuza duka la rejareja zaidi ya miaka 10 ngoja niwape uzoefu wangu kwenye chenji.

Asubuhi na mapema watu wengi wenye shida na chenji huwa wanaenda madukani unakuta mtu anatoa elf 10 ananunua kitu cha mia 3. Sasa ukihudumia watu kama hawa 5 mpaka 6 kwa asubuhi yani saa 4 inafika huna chenji kabisa na kushindwa kutoa huduma. Yani siku nzima ww kazi yako itakua kuenda kuomba chenji kwa wafanyabiashara wenzio na huwezi amini ni ngumu sababu ya ushindani. Ule muda unafunga duka kuzunguka kutafta chenji unakosa wateja.

Jinsi ya kumanage chenji ni akili kwenye biashara muda mwingine muuzaji unabidi uwe mchoyo wa chenji ata kama unazo hasa mida ya asubuhi na mchana maana ndo unaanza siku na usipokua makini siku nzima inaharibika. Utakosa mauzo makubwa kwa huruma zako. Kwenye biashara roho ngumu ni lazima iwepo
Sijui kama wanakuelewa !!
 
Habarini wana JF,

Juzi kuna jambo limenitafakarisha sana nmeenda dukani haya maduka ya bidhaa za rejareja ni barabaran kuna maduka kadhaa na kuna banda la chips na salon.

Nmefika kwanza nmemkuta muuzaji kijana hivi kwa kukadiria miaka 17 au 18 anachezea simu yupo bize sana ikabidi nimshtue kwa kugonga meza ndo akashtuka na kunisikiliza. Nkamwambia naomba juice ya embe ya elfu moja na maji ya mia tano, nkatoa noti ya Elfu Kumi, huwezi amini dogo alinirudishia pesa akasema sina chenchi broo kanunue kwa maduka mengine.

Nkawa kama sijamuelewa vizuri nikahisi anasema juice hamna wakati naziona kwenye shelfu, nakmuuliza unasema juisi hamna? Akasema broo chenchi sina ila juice ipo kanunue duka lingine tu.

Nlimuangalia sana yule dogo akarudi kukaa na kuendelea kuchezea simu yake. Aisee wenye maduka kuweni makin na hawa vijana wanaowauzia au kama ni ndugu yako umeweka akuuzie kuwa nae makini.

Imenishangaza sana kwa sababu alikua na uwezo wa kutoka kuomba kwa wafanyabiashara wenzake pale nje.
Kwenye hili bandiko lako nimejifunza, pesa si kila kitu; 'barter trade' ikirudi itawatesa wengi.
Naona ulivyofadhaika una hela na hujahudumiwa, na muuzaji haoni umuhimu wa hiyo hela.
 
Alafu utalisikia jitu linalalama et biashara ngumu hakuna wateja, kumbe tabia yake ya uvivu na ulegevu kazin ndio inaliponza,

Hii ipo kwa waTanzania wafanyabiashara wengi sana, na sio chenji tu bali hata wepesi wa kumuhudumia mteja watu wengi hii hawana, unamkuta mfanyabiashara anajishauwa anataka umbembeleze wakati pesa yako mwenyewe, nayeye ndie muhitaji wa pesa yako,

mi huwa nikifika madukani nataka muuzaji aoneshe uhitaji na unyenyekevu ama sivyo nitamporomoshea maneno hayo mpaka ajute kufanya biashara,

Na ndio hawa hawa hawakawii kuita wenzao wachawi wakiona wamefanikiwa, kumbe siri iko kwenye namna ya kudili na wateja, unihudumie hovyo na kwa uzembe utegemee nirudi kukuungisha? Sitorudi kamwe, na sitoishia kukupita tu bali nitawashawishi na watu wengine wakukimbie ili ukose wateja akili ikukae sawa ndipo ujuwe wapi unakosea.

Tunahitaji sana Elimu ya biashara haswa kwa hawa wakurupukaji wasiojali wateja.
[emoji2][emoji2] Uporomoshe maneno tena!!
Siku ukijifanya kichaa na ukakutana muuzaji kichaa ndo utajua hujui.
 
Kaka upo sawa kabisa hao wanaongea tu kwa sababu hawajui, mimi hapa mwenyewe nipo dukan sasa hiv tena duka langu kaja mtu na ten anataka maji ya 500 sasa sikua na chench, nimezunguka maduka yote ya jiran nikakosa mpaka nikaenda mtaa wa pili vuta picha hapo nimeacha ofis wazi nazunguka tu kutafuta chench. Karibia dk 15 sipo nazunguka tu. Sasa hiv kila anayekuja na pesa ya kurudisha chench namwambia sina tu hakuna namna.
 
Habarini wana JF,

Juzi kuna jambo limenitafakarisha sana nmeenda dukani haya maduka ya bidhaa za rejareja ni barabaran kuna maduka kadhaa na kuna banda la chips na salon.

Nmefika kwanza nmemkuta muuzaji kijana hivi kwa kukadiria miaka 17 au 18 anachezea simu yupo bize sana ikabidi nimshtue kwa kugonga meza ndo akashtuka na kunisikiliza. Nkamwambia naomba juice ya embe ya elfu moja na maji ya mia tano, nkatoa noti ya Elfu Kumi, huwezi amini dogo alinirudishia pesa akasema sina chenchi broo kanunue kwa maduka mengine.

Nkawa kama sijamuelewa vizuri nikahisi anasema juice hamna wakati naziona kwenye shelfu, nakmuuliza unasema juisi hamna? Akasema broo chenchi sina ila juice ipo kanunue duka lingine tu.

Nlimuangalia sana yule dogo akarudi kukaa na kuendelea kuchezea simu yake. Aisee wenye maduka kuweni makin na hawa vijana wanaowauzia au kama ni ndugu yako umeweka akuuzie kuwa nae makini.

Imenishangaza sana kwa sababu alikua na uwezo wa kutoka kuomba kwa wafanyabiashara wenzake pale nje.
Hichi kinauma sana,kuna hawa wamama wa kwenye stand ukiwaona wanavyohangaika na chench ili apate hyo mia 6 ya maji alaf niende dukani kwa mtu nitake juice ya 3.5k aninyime naumia sana,
 
Habarini wana JF,

Juzi kuna jambo limenitafakarisha sana nmeenda dukani haya maduka ya bidhaa za rejareja ni barabaran kuna maduka kadhaa na kuna banda la chips na salon.

Nmefika kwanza nmemkuta muuzaji kijana hivi kwa kukadiria miaka 17 au 18 anachezea simu yupo bize sana ikabidi nimshtue kwa kugonga meza ndo akashtuka na kunisikiliza. Nkamwambia naomba juice ya embe ya elfu moja na maji ya mia tano, nkatoa noti ya Elfu Kumi, huwezi amini dogo alinirudishia pesa akasema sina chenchi broo kanunue kwa maduka mengine.

Nkawa kama sijamuelewa vizuri nikahisi anasema juice hamna wakati naziona kwenye shelfu, nakmuuliza unasema juisi hamna? Akasema broo chenchi sina ila juice ipo kanunue duka lingine tu.

Nlimuangalia sana yule dogo akarudi kukaa na kuendelea kuchezea simu yake. Aisee wenye maduka kuweni makin na hawa vijana wanaowauzia au kama ni ndugu yako umeweka akuuzie kuwa nae makini.

Imenishangaza sana kwa sababu alikua na uwezo wa kutoka kuomba kwa wafanyabiashara wenzake pale nje.
Tusichokijua:[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kuhusu kuchezea simu tatizo hilo , ila kuhusu chenji unaweza kumlaumu bure , kuna siku mzunguko unakuwa mbaya kila anayekuja ni elfu kumi, unaomba mpaka unachoka , saa nyingine wengine hawakupi chenji kiroho mbaya, nipo dukani naelewa how inakuwa , inafika sehemu huna namna kwa sababu ya chenji
 
Kaka upo sawa kabisa hao wanaongea tu kwa sababu hawajui, mimi hapa mwenyewe nipo dukan sasa hiv tena duka langu kaja mtu na ten anataka maji ya 500 sasa sikua na chench, nimezunguka maduka yote ya jiran nikakosa mpaka nikaenda mtaa wa pili vuta picha hapo nimeacha ofis wazi nazunguka tu kutafuta chench. Karibia dk 15 sipo nazunguka tu. Sasa hiv kila anayekuja na pesa ya kurudisha chench namwambia sina tu hakuna namna.
Kweli kuna siku mzunguko unakuwa kila anayekuja ana elfu kumi
 
Back
Top Bottom