Elections 2015 Kukatwa kwa Lowassa, ni mwisho wa ile safari, au ni mwanzo wa Safari Halisi ya Matumaini?



Lowassa Hana chake. Aliwaaminisha kuwa ndiye anayependwa, wakati alikuwa tu mgawaji wa fedha kupitia mtandao wake kujijenga na kudanganya wananchi. UKAWA siamini kama wako tayari na nitawashangaa kumpokea. Hivi huyu alifanya nini cha maana miaka 8 iliyopita baada ya kuuzira uPM?
 
Kwani Rais Lazima awe Lowasa? kama mlikula pesa zake au mliahidiwa kuwa wasemaji wa Ikulu imekula kwenu
 
Pasco ungepumzika for now
sioni kama una make sense anymore
kila ulichotuambia huko nyuma kimeenda the opposite
labda sasa ungenyamaza kwanza.......ni kama vile nyinyi wapambe wa mgombea
mna kiu na urais kuliko mgombea mwenyewe


Moja ya njia za ku-cope na shock ni kupitia kipindi cha delusion. Mpe nafasi, delusions zitaisha,mara atakapoona uchaguzi umefika na mgombea wa CCM sio Lowassa, maana bado anaamini kuna provision ya Lowassa kuingizwa kuwa mgombea wa CCM huko mbele.

Huko alikopiga biti atahamia Ukawa, wameshatangaza mgombea wao tayari ni Dr.Slaa, kwa hili UKAWA wanastahili pongezi, kujiepusha na vishawishi.

Sasa bwana Zitto, atakuwa katega antenna anasubiri kuwa courted.

more dramas.

Otherwise imefikia hatua jamaa a-wave the white flag and calls it quits. sema kama waliomzunguka ndio kina Kingunge, Nchimbi na Kimbisa, si ajabu wanamwambia usiwe na wasiwasi, Mkutano mkuu utalazimisha jina lako,JK atavuliwa uenyekiti, na wewe utakuwa mwenyekiti na mgombea wetu kwa kipindi cha mpito!!
 


Lowasa atulie tu, alimsaidia JK mwaka 2005 sawa ni kweli na JK nae akampa uwaziri mkuu waongoze pamoja waondoke pamoja alafu wawaachie wengine ikifika 2015. Yeye lowasa uongozi ukamshinda sasa hana wa kumlaumu kwa kukatwa maana alikuwa hana moral authority ya kuwa raisi wa nchi hata chembe na CCM hilo imeliona.
 
Sina shaka Edo ni mwanasias wa kiungwana. Maamuzi ya chama yasimvunjie heshima yake wa uungwana uliopitiliza kwa Watz.
 
Kazi ya kichwa si kuotesha nywele pekee bali ata uwezo wa kufi kili...
 
halafu Pasco ungejua huyo lowasa hana hata habari wala wazo kichwani mwake linalofanan na haya.....yule mzee muoga sana hawezi kuhama
 
Last edited by a moderator:
muda simrefu ntarudisha au kuichoma kadi ya chama changu CCM...muda simrefu ntatoa mustakabali wa uanachama wangu..Asante Kikwete kwa kumaliza muhula wako vibaya kuliko raisi yoyote..utatukanwa na kudharililishwa zaidi ya ulivyo mfanyia Mkapa
 
Wakati mwingine ni bora kukaa kimya..Lowassa alikuwa chaguo la wachumia tumbo, watumwa wa mali walopanda mbegu za magugu katika shamba la ngano na kuishi kwa matumaini - HOPE ya kwamba ONE day YES mbegu hizo zitaota baina yake na Ngano bila kugunduliwa. Wakasahau ya kwamba magugu kusubiriwa kwanza yakaota pamoja na ngano, kwa sababu huwezi ng'oa miche ya magugu pekee unaweza kung'oa hata miche ya ngano safi. Hivyo husubiria yakaota kisha kupaririwa na kuchomwa moto, watu wakavuna ngano safi na kuiweka Ghalani..

Katika mambo yote alowahi kufanya JK atakumbukwa zaidi kwa hili, na Heko CC ya CCM kwa kufanya maamuzi sahihi. Kusema kweli sitojali tena nani baina yao atakuwa rais wa JMT maadam sio Lowassa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…