Ibra tiger
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 294
- 707
Wanywaji wenyew hawalalamiki ikiwa kali ndio wanapenda watakwambia izo za tbs sio kali acheni watu wanywe wamependa wenyeweKumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kuthibiti hali imekua mbaya sana serekali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakua mbaya sana
Wewe ni Ke na Mimi ni MeJibu lipo kwako kwakuwa uko kama mimi.
Wanapenda kunywa sumu,Wanywaji wenyew hawalalamiki ikiwa kali ndio wanapenda watakwambia izo za tbs sio kali acheni watu wanywe wamependa wenyewe
Unahakika wewe ni ME au ME wa mchongoWewe ni Ke na Mimi ni Me
Me haswa, rijali nguli mtembeza rungu km komredi kipepeUnahakika wewe ni ME au ME wa mchongo
Mnywaji wa bongo (africa kwa ujumla) yupo hatarini kupata dosari ya figo mapema zaidi (miaka 5-10), wakati katika nchi zilizoendelea watu wanapiga pombe miaka hadi miaka bila kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa hao,walevi wengi ulaya wanazeeka vizuri tu.Pombe hazifai ,zinaua maini na figo , ndo maana wajanja wana take advantage kuandaa pombe fake ili kuua moyo.
Serikali fatilieni haya mambo perfectly kuokoa hiki kizazi
Sio shida zangu, Ila lipia Tangazo kwanza.Me haswa, rijali nguli mtembeza rungu km komredi kipepe
Unataka?Sio shida zangu, Ila lipia Tangazo kwanza.
Embu pumzisha kibamia chako ukojoe ukalaleUnataka?
Una hamu leo?Embu pumzisha kibamia chako ukojoe ukalale
Kumekuwepo kwa kukithiri kwa wingi kwa pombe fake hapa Tanzania ni kama mamlaka imeshindwa kuthibiti hali imekua mbaya sana serekali ionee huruma wananchi wake huko mbeleni hali itakua mbaya sana
Pombe fake haina ubora kama ya viwandani. Inaweza kutengenezwa kwa chemical za hatari, au uchujaji wa pombe unakuwa wa ki-local na kuacha uchafu na kemikali hatari ndani ya pombe. Pia kilevi kinaweza kuwa juu kupita kiwango au chini ya kiwango.Naomba kueleweshwa pombe feki nikwamba inakuwa viwango vya kilevi vinakuwa chini au juu ya kiwango stahiki? Au ndo haina vibali?
Inatengenezwa chini ya kiwango. Zile ingredients zinakuwa sio zenyewe baadhi zinatafutwa mbadala tu.Naomba kueleweshwa pombe feki nikwamba inakuwa viwango vya kilevi vinakuwa chini au juu ya kiwango stahiki? Au ndo haina vibali?
Wewe ndio una ham kushobokea mabwana zako mimi nime comment Uzi wewe ume kuja Ku reply comment yangu uzwazwa ulitegemea niniUna hamu leo?
Unawashwa washwa unataka kukunwa?Wewe ndio una ham kushobokea mabwana zako mimi nime comment Uzi wewe ume kuja Ku reply comment yangu uzwazwa ulitegemea nini
Dawa ya moto moto tu.
Wewe ndio unawasha, ndio maana ume mshobokea mmeoUnawashwa washwa unataka kukunwa?
Njoo nikukune,Wewe ndio unawasha, ndio maana ume mshobokea mmeo
Sifagilii vibamiaNjoo nikukune,
Pole