Uchaguzi 2020 Kukiuka Maadili ya Uchaguzi kunaweza kupelekea mgombea kuzuiwa kufanya Kampeni hadi siku ya Uchaguzi au kuondolewa kabisa!

Hivi kuna kosa kubwa kama kuita watz wa upande mmoja watoto wa kambo? Je ikithibitishwa pasi shaka kuwa mgombea mmoja alifanya kikao na wateule wake dodoma uamuzi utakuwaje? Mahere watch we are watching you with an eagle's eye.
 
Mwambie Jiwe mbinu zake zote za kutaka kumwengua Lissu baada ya kikao cha Jana , linatambulika dunia nzima inafuatilia mtakwenda the Hague , mwambia afanye kampeni
 
Vipi yule anyetishia wapiga kura kutopeleka maendeleo, yeye yuko sahihi? Ukisema wewe naamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…