Mokobe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2020
- 1,249
- 1,546
wana habari basi na wanakunywa?Aisee kwahiyo wenyewe wanakua comfortable kabisa humo ndani kuchafuliana maji😀🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana habari basi na wanakunywa?Aisee kwahiyo wenyewe wanakua comfortable kabisa humo ndani kuchafuliana maji😀🙌
Kwahiyo wanalimwaga humo humo😀😀🙌 maisha hayawana habari basi na wanakunywa?
Ndo watu walivyo jama zero ustaarab🤣🤣Kwahiyo wanalimwaga humo humo😀😀🙌 maisha haya
Dah yaani nimagine hizo sura zao nasikia kucheka sana😂😂Ndo watu walivyo jama zero ustaarab🤣🤣
ni watu walikuja hapo na magari makali tulakini sasa 🤣 🤣 🤣 ni wa hovyoDah yaani nimagine hizo sura zao nasikia kucheka sana😂😂
😂😂😂 unanifanya niimagine ndugu zangu ninaowafahamu wanakunywa dah😂😂😂🙌ni watu walikuja hapo na magari makali tulakini sasa 🤣 🤣 🤣 ni wa hovyo
🤣 🤣 🤣 🤣aise siyo poa😂😂😂 unanifanya niimagine ndugu zangu ninaowafahamu wanakunywa dah😂😂😂🙌
afadhali ya mto maji yanakimbia🤣 🤣 🤣 🤣aise siyo poa
Yeye alikuwa hana hili wala lile na toka siku hiyo kaacha ku swim kwenye community pools, anaswimm hapa nyumbani tu.Ni mwanao ndio aliachia mzigo
duuh hii mpya sasa mpaka kwenye swimming pool watu wanaumwaga😂😂😂Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Huko kwenu mnapoogelea mtoni au ziwani hamnyi kweli majini🙄🙄🙄🙄Mambo ya Dar hayo, uko busy unaogelea mdomo wazi Mara kimba hili hapa
Hahaha sipati picha wakuu.
Haya watuhumiwa hawa chukua hatua ,sie tunaooga kwenye mabwawa ya mito hatupo[emoji16][emoji16]Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
Iitwe mavi detectorHii kitaalamu tunaiita "kalaraizesheni of kimba/kojo"
We washangaa kukojoa mie huwa nakunya kabisa humoNajua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Hakuna mtu hajawahi kukojoa kwenye pool nasema hakuna mtu huyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Baharini mabomba yote ya Mwananyamala hospital, Muhimbili, Aga khan Hospital,Ocean Road, posta yote na Kariakoo, yale ma** ya wa--maize na pilipili yanaelekezwa baharini, sasa afadhali ipi, mkojo wetu au ma-V ya posta na Muhimbili?
Mauchafu yote ya hospitali yanaingia baharini, tena hapo samaki wanakula alafu wewe unaenda kula ugali samaki pale break point kwa elfu 20
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na ukiona mtu katulia ghafla ujue anafanya yake!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe unalalamika kukojoa ndani ya swimming pool mbona hiki ni cha mtoto, mwaka juzi nilipeleka wanangu kuswimm pale Wet n Wild yaani sikuamini macho yangu. Niliona kitu kinalelea na kuelekea mgongoni mwa mwanangu, kwenda kuangalia kumbe ilikuwa ni kipande cha mavi kuna mtu alijiachia mle ndani. Think of that.
Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.
Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.
Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.