Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

Kukojoa ndani ya swimming pool sio uungwana

ni watu walikuja hapo na magari makali tulakini sasa 🤣 🤣 🤣 ni wa hovyo
😂😂😂 unanifanya niimagine ndugu zangu ninaowafahamu wanakunywa dah😂😂😂🙌
 
Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.

Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.

Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
duuh hii mpya sasa mpaka kwenye swimming pool watu wanaumwaga😂😂😂
 
Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.

Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.

Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.
We washangaa kukojoa mie huwa nakunya kabisa humo
 
Baharini mabomba yote ya Mwananyamala hospital, Muhimbili, Aga khan Hospital,Ocean Road, posta yote na Kariakoo, yale ma** ya wa--maize na pilipili yanaelekezwa baharini, sasa afadhali ipi, mkojo wetu au ma-V ya posta na Muhimbili?
Mauchafu yote ya hospitali yanaingia baharini, tena hapo samaki wanakula alafu wewe unaenda kula ugali samaki pale break point kwa elfu 20
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Wewe unalalamika kukojoa ndani ya swimming pool mbona hiki ni cha mtoto, mwaka juzi nilipeleka wanangu kuswimm pale Wet n Wild yaani sikuamini macho yangu. Niliona kitu kinalelea na kuelekea mgongoni mwa mwanangu, kwenda kuangalia kumbe ilikuwa ni kipande cha mavi kuna mtu alijiachia mle ndani. Think of that.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.

Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.

Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.

Bongo hatari sana, hata kwenye swimming mtu anakojoa na kunya 🤣🤣 sizani kama nitahama hii nchi.
 
Najua hii tabia wanayo binadamu wengi unakuta mnaogelea katika pool mtu anabanwa mkojo badala aende toilet anaamua kumalizia shida zake humohumo ndani.

Mwingine ndo shenzi wahed anakunya kabisa. Unaweza ukashangaa kinyesi kinapanda juu ya maji. Aisee kweli nimeamini kila mtu ana upumbavu wake.

Usichoweza kukifanya wewe mwingine anakifanya and vise versa is true.

Si ajabu wengine humo humo wanazini na mahawara zao, tabia mbaya sana.
 
Back
Top Bottom