Kukomaa kisiasa: Pamoja na fitina na ubaya wote aliotendewa na Ole Sabaya, Mwenyekiti Mbowe ametulia kimya

Ili iweje??.Huku ni kufilisika hoja.
 
Magufuli ni Great Satan aka Lucifer aka Beezebul...down with Magufuli
 
Saa hii ni saa 7:50pm, otea Sabaya anafanyaje saivi
 
Kwani mkuu Mbowe na Lissu walikulawiti? Jiwe hayupo tena. Alisema ataiua chadema ila cha ajabu alidanja yeye kaiacha chadema ikiwa hai na Mbowe akiwa ngangari
 
Binafsi nampinga Freeman katika mambo mengi lakini namkubali sana kuwa ni kiongozi asiyekumbatia siasa za maji taka.
Huo ukabila alioupigia upatu huko kanda ya ziwa kwani siyo siasa za maji taka? Hapo bwashee naona umeingia cha kike!
 
Tunaposema Mbowe ni mwamba tunamanisha mwamba kweli kweli Pia kama hamjui Mbowe ni mwalim wa siasa Africa.
 
Mkubwa jalala, hivyo ndivyo inavyopaswa...
 
Aisee we mzee wakati mwingine huwa unakera sana na vi thread vyako uchwara,

Tafuta hata bustani ya mboga uwe unanyeshea,

Sio kila Jambo tu unapost.
 
Shetani anaposhughulikiwa wwe unashughulika na nini
 
Mbowe angekua rais nchi ingekua Sawa Sana hiii
 
Mkuu uwe unakunywa dawa zako kila mara. Angalia dishi lilivyotulia na kuweza kuandika kitu cha maana kama hiki Bwashee.
 
Nonsense [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
 
Reactions: BAK
Mwamba kazini
Your browser is not able to display this video.
 
Mbowe ni zaidi ya jambazi
 
Hii nchi ilikuwa inatawaliwa na mtu muovu, ndio maana waovu kama akina Sabaya waliweza kutamba.
Ila jiwe alikua shetani yule ndio maana Mwenyenzi Mungu kamtupa shimoni kabla ya kumaliza mihula yake miwili

Almighty God is Great
 
Mbowe born town kitambo,anajua kuishi na watu,mbowe licha ya kuwa mpinzani lakini ana marafiki serikalini na watu kwenye vyama vingine vya siasa

Maisha ni safari

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…