Kura ni siri kati ya mpiga kura na mpigiaji kura.Kila mgombea wafuasi wake wajipange nyuma yake. (means kuwe na mwakilishi wake kila kituo ambaye atasimama mbele wanaomuunga mkono mgombea wajipange nyuma yake. Hakuna wizi hapo.
Kila mgombea anakuwa na box lake.
Kuhesabu tunahesabu wote kila box , one after another.
My concern, is that practicable?
Sio kweliKura ni siri kati ya mpiga kura na mpigiaji kura.
hiyo tunakubaliana tunaiweka kandoKura ni siri kati ya mpiga kura na mpigiaji kura.
Wazo zuri liungwe mkono.Kila mgombea wafuasi wake wajipange nyuma yake. (means kuwe na mwakilishi wake kila kituo ambaye atasimama mbele wanaomuunga mkono mgombea wajipange nyuma yake. Hakuna wizi hapo.
Kila mgombea anakuwa na box lake.
Kuhesabu tunahesabu wote kila box , one after another.
My concern, is that practicable?
Ni sawa,Kura ni siri kati ya mpiga kura na mpigiaji kura.
Hiyo siri ndiyo inayotufikisha kwenye mambo ya akina Nape na Bashiru.Sio kweli
Wazo lako siyo zuri hata kidogo, ni hatari Sana kwa usalama wa Wapiga Kura, hususani wale wanaotaka usiri kwenye Maoni yao ya kumchagua mtu wanayemtaka.Kila mgombea wafuasi wake wajipange nyuma yake. (means kuwe na mwakilishi wake kila kituo ambaye atasimama mbele wanaomuunga mkono mgombea wajipange nyuma yake. Hakuna wizi hapo.
Kila mgombea anakuwa na box lake.
Kuhesabu tunahesabu wote kila box , one after another.
My concern, is that practicable?
Hii ndio itasaidia au kuwaburuza kwenye ramiSi sawa kubadili taratibu kuwaogopa wezi wa kura,
Tuwanyonge wezi wa kura, wizi uishe
Nani mwenye kuwanyonga?Si sawa kubadili taratibu kuwaogopa wezi wa kura,
Tuwanyonge wezi wa kura, wizi uishe
Dar es salaam wapiga kura wakijipanga nyuma ya mgombea msitari utafika kigomaKila mgombea wafuasi wake wajipange nyuma yake. (means kuwe na mwakilishi wake kila kituo ambaye atasimama mbele wanaomuunga mkono mgombea wajipange nyuma yake. Hakuna wizi hapo.
Kila mgombea anakuwa na box lake.
Kuhesabu tunahesabu wote kila box , one after another.
My concern, is that practicable?
🤔🤔Itakuwepo uadui wa kutisha na mauaji na chuki zisizo na msingiKila mgombea wafuasi wake wajipange nyuma yake. (means kuwe na mwakilishi wake kila kituo ambaye atasimama mbele wanaomuunga mkono mgombea wajipange nyuma yake. Hakuna wizi hapo.
Kila mgombea anakuwa na box lake.
Kuhesabu tunahesabu wote kila box , one after another.
My concern, is that practicable?
Inawezekana, let us try maana kuiba kura kama Nape alivyosema kuiba si kuzuri🤔🤔Itakuwepo uadui wa kutisha na mauaji na chuki zisizo na msingi
Let us try to make impossible to be possible ila sina uhakika kama itadumu mudaInawezekana, lakini let us try maana kuiba kura kama Nape alivyosema kuiba si kuzuri
HAPANAHata mbadilishe utaratibu CCM ndio inaenda kuunda serikali 2025
Ni ngumu kuwakusanya watu wote wakati mmoja. Ila Nape buana..Kila mgombea wafuasi wake wajipange nyuma yake. (means kuwe na mwakilishi wake kila kituo ambaye atasimama mbele wanaomuunga mkono mgombea wajipange nyuma yake. Hakuna wizi hapo.
Kila mgombea anakuwa na box lake.
Kuhesabu tunahesabu wote kila box , one after another.
My concern, is that practicable?