Big NO! Mungu alishapanga ccm ianguke 2025 na hakuna wa kupinga. Usidhani kauli kama za akina Nepi zinakuja tu holela kama walivyozoea! Hata Farao aliwatesa Wana wa Israel kwa kukataa maagizo ya Mungu kupitia Musa. Mwisho wa yote Farao na jeshi lake waliangamia makini kwenye bahari ya Shamu na Wana wa Israel kuokolewa. Mungu atujalie uhai tuyashuhudie yote namna Tanzania itakavyokombolewa.Hata mbadilishe utaratibu CCM ndio inaenda kuunda serikali 2025