FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Pesa tutalipa sisi, ni kwanini tunakubali kupangiwa matumizi ya kijinga jinga?!Hakuna mtoa msaada atakubali upeleke hela kwenye hilo bwawa.
Wamuulize Kaleman aliwezaje kuchezesha hela za misaada na kuziingiza kwenye bwawa.
Mkuu unafikiri ni nani wa kulaumiwa?Pesa tutalipa sisi, ni kwanini tunakubali kupangiwa matumizi ya kijinga jinga?!
Mfano, Tz ina UDOM inayohitaji kuboreshwa, kwanini tujenge kwingine badala ya kuendeleza UDOM?
Saa 100Mkuu unafikiri ni nani wa kulaumiwa?
Ndo tatizo la kujiamulia mwenyewe kuanzisha mradi flaniHizo trillion 4 zinaenda wapi wakati hata pesa za miradi muhimu kabisa hakuna?!
Ni kwanini tusikope fedha kukamilisha miradi strategic ambayo tumeshaianza?
Sasa si unauanzisha kwa manufaa yakoNdo tatizo la kujiamulia mwenyewe kuanzisha mradi flani
Acheni uzabizabina , nani kasema bwawa la Nyerere-Stiglaz limekosa fwedha!Hizo trillion 4 zinaenda wapi wakati hata pesa za miradi muhimu kabisa hakuna?!
Ni kwanini tusikope fedha kukamilisha miradi strategic ambayo tumeshaianza?
Mradi umekwama?Acha uchawiHizo trillion 4 zinaenda wapi wakati hata pesa za miradi muhimu kabisa hakuna?!
Ni kwanini tusikope fedha kukamilisha miradi strategic ambayo tumeshaianza?
Lile bwawa lilitakiwa liishe June 2022, hadi leo hata maji hayajaanza kujazwa kisa eti tumekosa crame la tani 26Acheni uzabizabina , nani kasema bwawa la Nyerere-Stiglaz limekosa fwedha!
Hili bwawa lilitakiwa lianze kazi Jume 2022, hadi leo hata maji hayajaanza kujazwa, kwanini?!Mradi umekwama?Acha uchawi
Hata hizi bando za internet zinavyopanda kwa kasi ni ili kulipa mkopo wa ujenzi wa uwanja wa ndege Zanzibar, kazi tunayo..Hii nchi watu wengine wanajiua na kuua sabb ya serikali...tozo na madeni ya nchi na ugumu wa maisha..madeni walipaji wananchi...!
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Mbona unajichanganya?Lile bwawa lilitakiwa liishe June 2022, hadi leo hata maji hayajaanza kujazwa kisa eti tumekosa crame la tani 26