Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kujamba ni vibaya jmn..mie mke wng napenda sn anavyojmba aisee.Kuna watu wanakula vibaya Kama nguruwe lkn wanawake wanawavumilia.
Kuna wanawake wana Jamba usiku lakini wanavumiliwa. Kukoroma tu ndio uache mke?
Wako huyo komaa nae.
Umemuoa juzi au unatumia mtandao wa tigo. Nasikia wanao tumia mtandao huu akisikia MTU kajamba anapandisha midadi.hivi kujamba ni vibaya jmn..mie mke wng napenda sn anavyojmba aisee.
Funny enough unaweza kuta jamaa nae anakoroma ila hajijui kama ana hilo tatizo!!!Maisha ni zaidi ya tunavyoyaona na kuyachukulia, pengine mwandishi hajui kwamba yeye pengine ni kilema,mgonjwa au mwenye matatizo mtarajiwa. Je, atajisikiaje jamii ikimtenga kutokana na hali yake?
Tanga kule wazee wanatembea na kiberiti chenye NYA Kama wanaenda kupimwa Choo vile,akisikia handasi tu anakitoa mfukoni anakifungua anakinusa mnara unasoma Basi burudani kwakeeeeeeee.Umemuoa juzi au unatumia mtandao wa tigo. Nasikia wanao tumia mtandao huu akisikia MTU kajamba anapandisha midadi.
TBS ya Kupenda hii hapa!Huyu dada ni mzuri na nina enjoy sana kuwa naye. Shida kuu ni moja. ANAKOROMA USIKU. Silali kwa kweli.
Mimi mtu akikoroma siwezi pata usingizi hata iweje. Nmeshalala naye zaidi ya mara 20. Usiku anakoroma vibaya sana. Hata nimwamshe nimlaze vipi haipiti dk anakoroma.
Sometime naweza msemesha akajibu ila sekunde 30 nyingi anarudia kukoroma. Naombeni mnisaidie kama kuna dawa ya tatizo hili. Sababu otherwise naona itakuwa ngumu mimi kuwa nalala naye.
Maana kiukweli huwa nikishtuka nikakuta anakoroma ndo silali tena. Nakwazika,nakereka mpaka mwisho. Siwezi pata usingizi kabisa.
Je, nifanyeje? Of course ana mwili. sijui kama ni kigezo kuwa ni unene....but mbona nmesha date sana wenye maumbo namba 8 na hawakoromi? Why yeye?
Tanga kule wazee wanatembea na kiberiti chenye NYA Kama wanaenda kupimwa Choo vile,akisikia handasi tu anakitoa mfukoni anakifungua anakinusa mnara unasoma Basi burudani kwakeeeeeeee.Umemuoa juzi au unatumia mtandao wa tigo. Nasikia wanao tumia mtandao huu akisikia MTU kajamba anapandisha midadi.
Ninachojua Mimi Kuna baadhi ya watu wakisha wanawa ma barmaid huo mkono waliotumia kunawa hauoshwi. Basi msela kila akipeleka mkono puani akihisi ile harufu ya kipapa mnara unasoma.Tanga kule wazee wanatembea na kiberiti chenye NYA Kama wanaenda kupimwa Choo vile,akisikia handasi tu anakitoa mfukoni anakifungua anakinusa mnara unasoma Basi burudani kwakeeeeeeee.
Nimecheka kama mazuriMie niliishi na kumpenda sana binti alikua naakoroma, alikua anajamba sana, alikua na maradhi maradhi. Sikuwahi kufikiria kumuacha. Nimekuja kumuacha kwa kuwa mchoyo wa mchezo basi!
Na ilikua pini hasa.
Hapana ni dhana tu mkuuUmemuoa juzi au unatumia mtandao wa tigo. Nasikia wanao tumia mtandao huu akisikia MTU kajamba anapandisha midadi.
Must be crazy [emoji23]Hapana ni dhana tu mkuu
Mi mwenyewe mpenzi wangu alikua anajamba sana..mwanzoni akawa anaogopa. Nikaja kumtoa wasi.
Tena alikua akitaka kujamba namuambia anitegeshee puani.
Ushuzi kunusa ni healthy, wa mwanamke.
Afanye mazoezi ya ulimi awe anautoa nje na kuurudisha ndaniHuyu dada ni mzuri na nina enjoy sana kuwa naye. Shida kuu ni moja. ANAKOROMA USIKU. Silali kwa kweli.
Mimi mtu akikoroma siwezi pata usingizi hata iweje. Nmeshalala naye zaidi ya mara 20. Usiku anakoroma vibaya sana. Hata nimwamshe nimlaze vipi haipiti dk anakoroma.
Sometime naweza msemesha akajibu ila sekunde 30 nyingi anarudia kukoroma. Naombeni mnisaidie kama kuna dawa ya tatizo hili. Sababu otherwise naona itakuwa ngumu mimi kuwa nalala naye.
Maana kiukweli huwa nikishtuka nikakuta anakoroma ndo silali tena. Nakwazika,nakereka mpaka mwisho. Siwezi pata usingizi kabisa.
Je, nifanyeje? Of course ana mwili. sijui kama ni kigezo kuwa ni unene....but mbona nmesha date sana wenye maumbo namba 8 na hawakoromi? Why yeye?
Mara ngapi? Na wakati gani??Afanye mazoezi ya ulimi awe anautoa nje na kuurudisha ndani