Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
- Thread starter
-
- #41
Nyie wenye hayo matatizo. Sisi wanaume wengine hatuna.Wanawake wanatuvumilia mengi sana sisi wanaume.
Sisi wanaume tuna matatizo mengi zaidi ya hayo,uchafu,kuvuruga vitu chumbani,kunuka mdogo kutokana na masigara,pombe ugoro,kufungulia miredio usiku,kunuka mapua,vingi sana
Dada unataka unipe support ya nini? Mimi nauliza dawa wewe unataka kuni support unataka nawe ukorome ndo kutoa support?nyie wadada wengine shule iliwapita kushoto kabisa.Ulidhani tutakusapoti ila ukweli umetoa boko
Ni hao hao sasa siyo mimi. Ngekuwa na hayo matatizo ngenyamaza kuwa naye ananivumilia. But sina.Aisee umemaliza mkuu.
Kama kuna watu wanavumilia mengi basi wanawake. Imagine jitu linavuta sigara, haogi, ana kitambi kilo 100, mchafu mchafu meno ya njano ila mwanamke anaishi naye kiroho safi.
Jamaa atulie tu na mrembo
Kwa hiyo unaweza ukiwa na bawasiri usiseme sababu ni kilema chako? Huo ni Ujinga na ufala. Kama hujui baki na bawasiri yako..... Ila wenye akili watatafuta dawa.Maisha ni zaidi ya tunavyoyaona na kuyachukulia, pengine mwandishi hajui kwamba yeye pengine ni kilema,mgonjwa au mwenye matatizo mtarajiwa. Je, atajisikiaje jamii ikimtenga kutokana na hali yake?
Shukrani. Nitaupitia huu.. asante sanaNimeona uzi unasema
Kukoroma usingizini nini chanzo na tiba yake , utafute jf doctor
Kuna blaza mmoja ana hizi sifa [emoji1787][emoji1787]Aisee umemaliza mkuu.
Kama kuna watu wanavumilia mengi basi wanawake. Imagine jitu linavuta sigara, haogi, ana kitambi kilo 100, mchafu mchafu meno ya njano ila mwanamke anaishi naye kiroho safi.
Jamaa atulie tu na mrembo
Nunua ear plugsHuyu dada ni mzuri na nina enjoy sana kuwa naye. Shida kuu ni moja. ANAKOROMA USIKU. Silali kwa kweli.
Mimi mtu akikoroma siwezi pata usingizi hata iweje. Nmeshalala naye zaidi ya mara 20. Usiku anakoroma vibaya sana. Hata nimwamshe nimlaze vipi haipiti dk anakoroma.
Sometime naweza msemesha akajibu ila sekunde 30 nyingi anarudia kukoroma. Naombeni mnisaidie kama kuna dawa ya tatizo hili. Sababu otherwise naona itakuwa ngumu mimi kuwa nalala naye.
Maana kiukweli huwa nikishtuka nikakuta anakoroma ndo silali tena. Nakwazika,nakereka mpaka mwisho. Siwezi pata usingizi kabisa.
Je, nifanyeje? Of course ana mwili. sijui kama ni kigezo kuwa ni unene....but mbona nmesha date sana wenye maumbo namba 8 na hawakoromi? Why yeye?
Niliwahi kucomment humu kuwa kukoroma kunadhoofisha ndoa watu wakabisha ...sasa leo tunawitnessHuyu dada ni mzuri na nina enjoy sana kuwa naye. Shida kuu ni moja. ANAKOROMA USIKU. Silali kwa kweli.
Mimi mtu akikoroma siwezi pata usingizi hata iweje. Nmeshalala naye zaidi ya mara 20. Usiku anakoroma vibaya sana. Hata nimwamshe nimlaze vipi haipiti dk anakoroma.
Sometime naweza msemesha akajibu ila sekunde 30 nyingi anarudia kukoroma. Naombeni mnisaidie kama kuna dawa ya tatizo hili. Sababu otherwise naona itakuwa ngumu mimi kuwa nalala naye.
Maana kiukweli huwa nikishtuka nikakuta anakoroma ndo silali tena. Nakwazika,nakereka mpaka mwisho. Siwezi pata usingizi kabisa.
Je, nifanyeje? Of course ana mwili. sijui kama ni kigezo kuwa ni unene....but mbona nmesha date sana wenye maumbo namba 8 na hawakoromi? Why yeye?
Aisee πKuna blaza mmoja ana hizi sifa [emoji1787][emoji1787]
Bonge la tumbo
Meno ya njano
Anavuta sigara
Anakula ugoro
Anakula mirungi
Jamaa anasinziaga kwenye kiti tui alaf anakoroma na mdomo upo wazi [emoji23][emoji23] ,,, sasa jiulize je akilala usiku Inakuwaje na mkewe inakuaje? Yaan kwenye kiti tu anakoroma na domo lote analiacha wazi.
Ila mke wake ukimuona ni kama wolper yule bongo movie,, huyu dada (mke wake)anavumilia mengi aisee
Kikubwa tushakuchana ukweliDada unataka unipe support ya nini? Mimi nauliza dawa wewe unataka kuni support unataka nawe ukorome ndo kutoa support?nyie wadada wengine shule iliwapita kushoto kabisa.
Wewe una hizo hulka?Wanawake wanatuvumilia mengi sana sisi wanaume.
Sisi wanaume tuna matatizo mengi zaidi ya hayo,uchafu,kuvuruga vitu chumbani,kunuka mdogo kutokana na masigara,pombe ugoro,kufungulia miredio usiku,kunuka mapua,vingi sana
Nipe pruf ya hii mkuuu [emoji120][emoji120] dah [emoji851] sayansi bhanaMara nyingi watu wenye shingo fupi hukoroma kwa sababu ya maimbile yao. Kama huyo mkoromaji wako ana shingo fupi hamna namna yoyote ya kumsaidia asikorome.
Mkuu hata kama shule hujafika mbali, hata kusoma na kuelewa mambo madogo bado kwako ni tatizo? π π π Hapa ndo pale kichwa kinakuwa mzigo kwa miguuKwa hiyo unaweza ukawa na bawasiri usiseme sababu ni kilema chako? Huo ni Ujinga na ufala. Kama hujui baki na bawasiri yako..... Ila wenye akili watatafuta dawa.