Kukosa Hela

Unyonge unaoupata na wao mambo yao ya kifedha hayaendi vizuri huko. Watu hawajui tu kuwa huwezi kufanikiwa kwa kutumia hela ya mtu mwenye kinyongo. Unakopa hurudishi unajiona mjanja.
 
Wanakuombaje hela dada yao? Au kwa kuwa mi sina dada wa kumuomba hela ndo maana sielewi hapo
 
Kote nasoma naona watu mnadai tu hakuna anaedaiwa?

Anyways mimi na mambo ya kukopeshana ni vitu viwili tofauti. Heri uniambie nisaidie kuliko kuniambia nikukopeshe maana najua tutaishia kugombana
Kama hayajakukuta unakua huelewi. Mimi kweli nimejifunza kukopesha watu. Kukopa mi wala sina shida maana najua lazima nirudishe.
 
Wanakuombaje hela dada yao? Au kwa kuwa mi sina dada wa kumuomba hela ndo maana sielewi hapo
Ukiwa dada mtihani sana ndugu yangu

Napambana na hali yangu tu sna jinsi.
 
Kamshahara kangu kadogo mkuu hakatoshi kumaliza shida zangu nilizo nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…