Kukosa Hela

Kukosa Hela

Duh!...siku hizi kukosa pesa ni suala la kawaida sana.


Mimi binafsi mwezi ulioisha hali yangu kifedha ilikuwa mbaya lkn namshukuru mungu tokea tarehe 24 mambo yangu yamerejea pale napopataka

Mungu akufanyie wepesi upate mtu akukopeshe hata kidogo naww
Akikopeshwa atalipa???
 
Najisikia kuumwa sio kuumwa. Nasikia baridi, koo limekua kavu, najaribu kulala usingizi hauji, najisikia kama nikae chini nilie halafu nikiwaza kuna watu nawadai hela zangu na mpango wa kunipa hata 100 hawana natamani ningekua na nguvu niwakamate niwapige. Niombeeni na mimi leo mipango yangu ya hela ikae sawa maana mnaweza nipoteza hii hali ikidumu kwa siku mbili tu.
Hii itakua sio style mpya ya uchunaji kweli?
 
Bora Wewe uliyekosa tu Hela Mkuu kwani mwenzako Mimi nimekosa Hela, Mbunye na hata Kipaji changu cha Kutongoza nacho siku hizi Kimetoweka kabisa kwenda Kusikojulikana hivyo mambo kuwa ' valuvalu ' tupu.
Mkuu wewe hauna tofauti na mimi kabisa. Yan haijawahi kutokea katika ndoano ninatotupa tano basi mbili lazima zikae sawa. Lakini sa ivi ni majanga. Mwezi unapita hujagusa mbenye yoyote. Nikaamua kurudi kwa ma Ex yooooo weee yan huko ndio unaishia kuchambwa kama Riyama alichomfanyia Benpol kwenye kipindi cha Shilawadu. Ukijicheki na mfukoni mambo ni mabaya sana.

Daah ila mi naamini yatapita tu. One day yes
 
Mkuu wewe hauna tofauti na mimi kabisa. Yan haijawahi kutokea katika ndoano ninatotupa tano basi mbili lazima zikae sawa. Lakini sa ivi ni majanga. Mwezi unapita hujagusa mbenye yoyote. Nikaamua kurudi kwa ma Ex yooooo weee yan huko ndio unaishia kuchambwa kama Riyama alichomfanyia Benpol kwenye kipindi cha Shilawadu. Ukijicheki na mfukoni mambo ni mabaya sana.

Daah ila mi naamini yatapita tu. One day yes
Ameen
 
Back
Top Bottom