Kukosea kupiga simu kwanini iwe kwa watu wa kabila moja?

Tena mtandao wa airtel, wasukuma wasumbufu haijawahi tokea. Halafu wanaamini kila mtu anapaswa kujua lugha yao
Na hili mitandao ya simu ikaliangalie
 
😂😅Wasukuma na Waha wenyewe wakipata vocha kazi yao nikujitungia namba yoyote na kuanza kupiga cm... Kazi yao ni kusalimia tu hadi dakika ziishe ndio starehe yao...
Tenaaa!!! mbona huwa wanakomaa na majina au wanauliza wewe ni fulani?
 
Hao watu wasumbufu sana halafu ni wagumu sana kuelewa mtu unamwambia umekosea lakini waapi anarudia tena mara nyingi huwa navua koti la ustaarabu na kuvaa la matusi.
shida hata uwakemee kesho atarudia tena kupiga hadi achoke
 
Ukweli hawana muda, jana nilipigiwa saa nane usiku, kupokea nakutana naye, sikumwelewa, nilitaka simu, akapiga tena!
 
Kuna kipindi niliwahi fanya kazi call center ya kampuni fulan hivi.. yaan haipiti robo saa unapokea simu ya Msukuma halafu hajui kapiga wap anabaki anauliza na kubung'aa tu, walikuwa wanatukera asee 😂😂
Aisee!!
 
Hili nalo likaangaliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…