[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hata wanaosumbua kwa kupiga simu huduma kwa wateja kwenye mitandao ya simu yote ni wasukuma....wanapiga simu customer care hadi usiku wa manane ili wakusalimie tu muhudumu....[emoji16]
🤣🤣🤣sina majibuMimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
hahhaa daah mmewasagia kunguni wenzenunilipo soma tu kichwa cha habari nikijua tu msukuma anahusika hapa, binafsi namba zete zilizo nipigia katika kukosewa ni za wasukuma tu .
Ni kweli, wakifuatiwa na wamasai kwa mbaliMimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
Nikigunduaga kuwa amekosea...najitambulisha...mimi ni afande Glenn kituo cha...huwa wanakata simu fasta🤣🤣🤣Hao watu wasumbufu sana halafu ni wagumu sana kuelewa mtu unamwambia umekosea lakini waapi anarudia tena mara nyingi huwa navua koti la ustaarabu na kuvaa la matusi.
Kweli kabisa yaani !Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?
ni mipango maalum ya udukuzi
Yote sawa tu...ila tunasonga mbeleTutafika akhera tumechoka sana
Akhera nguvu za nini acha tufike na uchovu tupumzike.Tutafika akhera tumechoka sana
Hili la airtel kuna ukweli maana chuoni ilibidi nibadili namba yangu fulani ya airtel kwa kadhia hii enzi za HAKATWI MTU (nilikuwa kila siku napigiwa na wasukuma na hawanielewi hata nikiwaelewesha)[emoji38][emoji38][emoji38] ni kweli kabisa,namba yangu ya Airtel haipiti siku tatu bila kupokea simu ya msukuma au mmasai.
Kwa nn uwe ni wewe tu?Ni kweli siku ya tatu Leo wanapiga asubuhi, mchana,jioni hata usiku.Jana Niko kwenye vikao wanapiga ukipokea wanaongea kisukuma,yaan nilikereka sana, baada ya hapo Nimejaribu kuziblock zile number Wikiend naweza shinda vizuri Walau.Usiombe hao jamaa wakosee no alafu sio waelewa hata ukiwaambia umekosea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna watu walininga balaa.. kila wakipiga simu unasikia Jofureeee kinehee. Nawaambia mm sio jofuree umekosea. Unasikia Hiiiiiii kwani wewe nani[emoji23]
Ni yeye tu? Hujaona kundi la watu lilivyolalamika hapa?
Simple iko hivi lain unayotumia huna hatimiliki nayo kuna msukuma alikua anatumia sasa ngosha huyo akaacha kuitumia ndio ukapewa wewe kwa hiyo ndugu zake kina ngosha watakusumbua sanaa sababu wanajua line ni ya ngosha mwenzako najipigia tu vitoto vya chuo cha amazon kila siku. Vinapiga simu maana kuna mwalimu wao alikua anatumia line hiooMimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke.
Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa kuelewana huwa nawaambia wamekosea kupiga.
Wengine watarudia mara mbili au tatu na wakati umemwambia amekosea.
Hoja yangu ni kwamba kwanini wawe wasukuma tu? Ina maana nchi hii ina idadi kubwa ya Wasukuma? Au nini ndugu zangu?