Kukosekana kwa intaneti: Kebo moja ya intaneti ilikatwa mapema Jumapili katika Mji wa bandari wa Afrika wa Durban, je ni hujuma?

Mwambie siku nyingine awe anauliza kwanza...
Wanavyo kaza fuvu sasa mait wa bongo zero,sifuri maneno kibao, wakati wanawachagulia watoto wako course za it hawajui huu ni wito kama vile uchungaji au udocta ukija kusoma ilimradi mjomba kaniambia it inapesa ndio hao wanatuharibia sifa
 
Kwanini watanzania huko kwenye masomo ya Sayansi huwa mnasoma nini ?

Lini bara la Afrika litakuwa na uwezo wa kuzalisha yenyewe huduma ya internet bila kutegemea huduma kutoka kwa mzungu ?
Huduma ya internet haizalishwi, huunganishwa.
Lazima kuungana na wengine.
 
Acha uongo wewe
Kwamba hizi tower based telecommunications systems na undersea cable networks ni reliable na zina coverage kuliko satelite ?
Unajua unachoandika wewe ?
Unajua speed ya data transmission Kwa starlink satellite ?
Unajua coverage ya starlink satellite network ?
Unajua reliability yake ?
Unajua comparison ya gharama ya kutandaza huduma ya hizo fiber optic networks na telecommunications towers Vs gharama za kutandaza huduma kwa satellite ?
Au hujui satelite moja ya starlink inaweza toa huduma na reliable coverage kwa zaidi ya nusu ya Afrika ?
Unajua Afrika jinsi ilivyo na remote places ambazo ni cost forbidding kutandaza huo ushuzi wa hayo manyaya na milingoti ?
Wakati yangeweza kufikiwa na wireless network kwa satelite more cost efficient na reliably ?

Fanya research kabla ya kuandika na kupotosha mambo
 
Unakuja kujiandikia vitu kutoka kichwani kwako halafu unataka kuwapa watu kazi ya kufanya research ambayo ungeweza fanya mwenyewe unadhani kila mtu anajiandikia mambo kama wewe.


Source ya mada ni article hapo juu kwa kiingereza.


Ndani ya hiyo BBC article mwisho kuna podcast BBC wameongea na mkurugenzi wa ‘Orange Marinę’ moja ya kampuni zinazotandaza sea cables na kufanya repairs. Kaenda mbele zaidi kuelezea tofauti ya cable na satelitę na kwanini 99% ya dunia inatumia cable.




Hao Tele-Geography ndio leading researchers duniani kwenye maswala ya telecommunication hata mashirika makubwa ya habari wanatumia sources zao. Wanakwambia cable reliable na ina uwezo mkubwa kushinda satellite.


CNN ukisoma hiyo article wanakwambia 99% ya mtandao ni underwater cable pamoja na changamoto za kukatika. Source yao Tele-Geography (tells hao jamaa wanavyo heshimika kama credible source).


The Economist wanakwambia kitu hiko hiko sea cables 99% ya mtandao wa dunia. Ndio maana huyo mzungu aliekuwa kwenye BBC podcast akaitwa mtaalamu sio mtu anaejiropokea tu.

Kama Tanzania inataka kuweka satellite waweke who cares nchi yenyewe ina viongozi wavivu kama wewe hata kujifunza dunia inavyozunguka hamtaki unataka hiyo kazi wafanye wengine kwenye dunia ya leo ambayo information ni bure.
 
kwahiyo mnafikiri itakuba bifu kati ya yanga na sundown bado linaendelea? kwanini tusitafute mbadala wa hizi mambo?
 
Wanavyo kaza fuvu sasa mait wa bongo zero,sifuri maneno kibao, wakati wanawachagulia watoto wako course za it hawajui huu ni wito kama vile uchungaji au udocta ukija kusoma ilimradi mjomba kaniambia it inapesa ndio hao wanatuharibia sifa
Yani cha tu, wabongo kazi kwelikweli 😂 😂
 
Kwanini watanzania huko kwenye masomo ya Sayansi huwa mnasoma nini ?

Lini bara la Afrika litakuwa na uwezo wa kuzalisha yenyewe huduma ya internet bila kutegemea huduma kutoka kwa mzungu ?
Tatizo wamehodhi hiyo biashara, hata tuwe na hao wataalamu hatuwezi fanya iyo kitu hivyo unavyowaza Mkuu.
 
Quran imeeleza nini kuhusu kukatika hiyo cable?

Qur'an 2: 216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.
 

Qur'an 2: 216. Mmeandikiwa kupigana vita, navyo vinachusha kwenu. Lakini huenda mkachukia kitu nacho ni kheri kwenu. Na huenda mkapenda kitu nacho ni shari kwenu. Na Mwenyezi Mungu anajua na nyinyi hamjui.
Kwahiyo internet ni shari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…