Kukosekana kwa maji kumenisabisha kujisaidia haja kubwa mbali na ofisi

Ulienda Home kukata gogo au?
 
Ofisini dakika 12 unaenda na gari??...unalalamikia maji hakuna alafu unachangia mabadiliko ya tabia nchi kwa kutuchafulia mazingira na mafuta yako unayochoma unataka maji yatoke wapi kanyeeeee
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni zamu yenu sasa wanyonge na nyie mnyongwe,maana matajiri walishaishi kama mashetani sasa ni wakati wao kuenjoy... Vumilia mkuu hata mwaka haujaisha.
 
Shida yote yanini bakisha mv yako nyumbani kwako
 
Hapo ndo utaona umuhimu wa kuishi bush, au kuwa karibu na pori lolote
 
Dah!! pole sana mkuu kwa huo mgao wa maji huko mjin, pembezoni mwa ziwa huku jamaa zinaachia tu mzigo kwenye mawe na pembezon mwa ziwa, hawa jamaa wa BMU (Beach management unit) nahisi wanakula tu pesa bila kuwajibika
 
Mbona mnakuwa wakali!

Mjini kuna magari mangapi road?

Mpaka muone jamaa kuwa na gari ni bonge la issue!!

Ama anajikweza!?

Nyie jamaa mna dhiki sana
Baadhi ya watu wana akili za kimaskini sana. Yaani mtu kueleza kuwa ana gari inakuwa suala kubwa!!! Huko kwa wenzetu wanaotengeneza na walioanza kutumia magari tena yakiwa mapya siyo haya mitumba tunayotumia huku: Sasa hivi wanageukia baiskeli kwa ajili ya mazoezi. Wanatumia magari pale kwenye ulazima sana.....

Ifikie mahali tuone mtu kumiliki gari kuwa ni kitu cha kawaida sana kwa sasa.

Nimemaliza. Ukiamua kutoa povu ruksa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…