Ulienda Home kukata gogo au?Kwa kweli kuna kipindi tulikuwa na maisha mazuri mpaka tukasahau matenki ya maji.
Sasa wale tuliopo na ofisi ambazo vyoo vyetu vya kuflash na plan za ofisi swala la tank la maji hakuna.
Kila mwanadamu lazima kutoa taka mwili. Nipo ofisini mara nasikia hali si nzuri, kwenda chooni hakuna maji na ningetumia ukatili bila maji lazima ningejulikana kuwa mimi ndio nimeingia. Ikabidi niwashe gari kwenda nyumbani kwa sababu ofisi na nyumbani si mbali kama dakika 12.
Kilichonisaidia zaidi ya hapo ningeharibu CV ya choo cha ofisi na CV za taka taka zote wangeziona
[emoji38][emoji38][emoji38]Tumwombee wivu mtu anayeenda kunya?
Dunia inaenda kwa kasi sana
hahaha nilikua naitafuta hii commentKumbe una gari? Hongera.
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu maji yote yanaishia kwenye large intestine, mzigo unashuka kwenye descending colon na kutua kwenye sigmoid colon na kugonga kwenye rectum hakuna maji huko ndo mana ukishusha mzigo huoni maji. Ukikaa mda mrefu lazima uwe mgumu tu eneo hilo maji Yanakuwa yameshanyonywa na large intestine utakojoa sana hayafiki kwenye mavi unajidanganya tu.
Juzi niliingia choo cha Taasisi moja kubwa aisee ni aibu watu wanashusha shafts bila maji tu ni balaa!
Baadhi ya watu wana akili za kimaskini sana. Yaani mtu kueleza kuwa ana gari inakuwa suala kubwa!!! Huko kwa wenzetu wanaotengeneza na walioanza kutumia magari tena yakiwa mapya siyo haya mitumba tunayotumia huku: Sasa hivi wanageukia baiskeli kwa ajili ya mazoezi. Wanatumia magari pale kwenye ulazima sana.....Mbona mnakuwa wakali!
Mjini kuna magari mangapi road?
Mpaka muone jamaa kuwa na gari ni bonge la issue!!
Ama anajikweza!?
Nyie jamaa mna dhiki sana